Maziwa gani yanakukosha kati ya haya?

Eti ni maziwa gani yanakupa ladha murua kati ya haya mawili?

View attachment 2983536
Yote ni bora tu, na hakuna tofauti kubwa ya kimsingi, japokuwa Almudhish (kopo la kushoto kwenye hiyo picha, kopo lina maandishi ya kiarabu) kwa huku kwetu Tz yana jina kubwa kidogo hivyo na bei yake ni kubwa kidogo zaidi ya Lato (tofauti kama ya 10% kwenye bei).
 
Hahahaha maziwa yote hapo nayapenda sana najilamba kama nyau
 
Almudhish mazuri. Lato yana kiharufu flani sio amazing
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…