Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Naombeni kuuliza wataalamu huku kwa mtoto wenye mwaka hadi mitatu. Maziwa yapi bora kwake, ya formula mfano lactogen, sma, infacare, s26 etc au ya ng'ombe?
Yapi yana nguvu?
Yapi yana nguvu?