Mazoezi bila mpangilio yanaweza kukuondoa uhai aisee!

Mazoezi bila mpangilio yanaweza kukuondoa uhai aisee!

Top gun maverick

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2017
Posts
2,080
Reaction score
2,871
Habari ya Jumapili wanajukwaa pendwa kabisa,

Natumaini wote ni wazima wa afya.

Naenda Straight to the topic. Mimi kijana ambaye napenda sana mazoezi hasa ya body workout.

Yaani ni mazoezi ya pushups, pelvic floor muscles, squash, na jumping jacks hasa pushups napenda sana lakini sipendi na wala sitokuja kwenda gym. Kwa siku naweza piga pushups mia mbili na kumi asubuhi na jioni. Sasa kutokana na kubanwa na shughuli za hapa na pale nikasema nitakuwa nafanya hizi body workout weekends.

Aisee! Leo nimeamka nikafanya warmup kama dakika tano hivi. Nikaanza mazoezi Nikamaliza vizuri tu. Ile natembea hatua moja tu mara nikajikuta na nabanwa kutapika na kuharisha double impact at the same time, mwili hauna nguvu, kizunguzungu mbele giza. Nikawahi msalani ile kukaa niliharisha na kutapika sijawahi ona, jasho linanitoka ndo atleast mwili ukaanza kukaa sawa.

Hii ni first time inanitokea wenye experience ya hili suala hebu tupeni mrejesho maana leo Aisee. Ni Mungu Tu.

Namalizia kwa kusema: "Fitness is like a relationship you can't cheat on it and expect to work!
 
Mazoezi ya Body Weight ni mateso yakujitafutia tu hemu nunua Dambell zako uanze Free Weight Workout kama utatapikatapika kama unaumwa wewe miPushup 2000 ili iweje nawakati ukichukua Dumbell zako ukaoiga Bi lips 20 tu unakula Movie na body linajengeka kama wakiume.
 
We unaumwa tu hahah
Eti enheee, maaana mhhhh sio powa nimegoogle na kupata source moja inasema kwa hapo yaani chakula kinakuwa ndo kinafanyiwa digestion Kwenye damu, hasa ukichanganya na activity nyingine ndo mwili unadeviate from normal yaan from negative to positive feedback. Kwa biology yng ya ADVANCE.
 
Bei ya hizo dumbbell ni sh ngap
Mazoezi ya Body Weight ni mateso yakujitafutia tu hemu nunua Dambell zako uanze Free Weight Workout kama utatapikatapika kama unaumwa wewe miPushup 2000 ili iweje nawakati ukichukua Dumbell zako ukaoiga Bi lips 20 tu unakula Movie na body linajengeka kama wakiume.
 
Habari ya jumapili wanajukwaa pendwa kabisa natumaini wote ni wazima wa afya.Naenda Straight to the topic Mimi kijana ambaye napenda sana mazoezi hasa ya bodyworkout.
Yaani ni mazoezi ya pushups ,pelvic floor muscles,squash,na jumping jacks hasa pushups napenda sana lakini sipendi na wala sitokuja kwenda gym.Kwa siku naweza piga pushups mia mbili na kumi asubuhi na jioni.Sasa kutokana na kubanwa na shughuli za hapa na pale nikasema nitakuwa nafanya hizi bodywork out weekends.
Aisee! Leo nimeamka nikafanya warmup kama dakika tano hivi. Nikaanza mazoezi Nikamaliza vizuri tu.Ile natembea hatua moja tu mara nikajikuta na nabanwa kutapika na kuharisha double impact at the same time,mwili hauna nguvu ,kizunguzungu mbele giza ,nikawahi msalani ile kukaa niliharisha na kutapika sijawahi ona ,jasho linanitoka ndo atleast mwili ukaanza kukaa sawa.Hii ni first time inanitokea wenye experience ya hili suala hebu tupeni mrejesho maana leo Aisee.Ni Mungu Tu. Namalizia kwa kusema "Fitness is like a relationship you can't cheat on it and expect to work!.
Mbwembwe nyingi kijana.

Amka

Mshukuru Mungu kwa kuamka.

Chukua laba zako kimbia kama kilomita tatu hivi ni umbali kama wa dk 20 au 15.

Wakati unarudi ukiona unakaribia kama mita 50 sprint fasta sana kwa nguvu zote mpaka ufike kituo chako.


Then ukirudu usipoe ruka kamba zako kadhaa kama dakika 5 hivi.

Ukimaliza piga pushapu zako kama 30 hivi ni dakika kama 0.5 hivi.

Ukimaliza nyoosha viungo basi umemaliza kila kitu kaoge ushapiga tizi hapo.

Hiyo ni simple but sure
 
Mbwembwe nyingi kijana.

Amka

Mshukuru Mungu kwa kuamka.

Chukua laba zako kimbia kama kilomita tatu hivi ni umbali kama wa dk 20 au 15.

Wakati unarudi ukiona unakaribia kama mita 50 sprint fasta sana kwa nguvu zote mpaka ufike kituo chako.


Then ukirudu usipoe ruka kamba zako kadhaa kama dakika 5 hivi.

Ukimaliza piga pushapu zako kama 30 hivi ni dakika kama 0.5 hivi.

Ukimaliza nyoosha viungo basi umemaliza kila kitu kaoge ushapiga tizi hapo.

Hiyo ni simple but sure
Mzee ni yale yale assume ndo hali inatokea ndo nipo road mzeee,si aibu ya mwaka
 
Habari ya Jumapili wanajukwaa pendwa kabisa,

Natumaini wote ni wazima wa afya.

Naenda Straight to the topic. Mimi kijana ambaye napenda sana mazoezi hasa ya body workout.

Yaani ni mazoezi ya pushups, pelvic floor muscles, squash, na jumping jacks hasa pushups napenda sana lakini sipendi na wala sitokuja kwenda gym. Kwa siku naweza piga pushups mia mbili na kumi asubuhi na jioni. Sasa kutokana na kubanwa na shughuli za hapa na pale nikasema nitakuwa nafanya hizi body workout weekends.

Aisee! Leo nimeamka nikafanya warmup kama dakika tano hivi. Nikaanza mazoezi Nikamaliza vizuri tu. Ile natembea hatua moja tu mara nikajikuta na nabanwa kutapika na kuharisha double impact at the same time, mwili hauna nguvu, kizunguzungu mbele giza. Nikawahi msalani ile kukaa niliharisha na kutapika sijawahi ona, jasho linanitoka ndo atleast mwili ukaanza kukaa sawa.

Hii ni first time inanitokea wenye experience ya hili suala hebu tupeni mrejesho maana leo Aisee. Ni Mungu Tu.

Namalizia kwa kusema: "Fitness is like a relationship you can't cheat on it and expect to work!
Kwanza unapiga tizi kali halaf msosi huli balanced diet inavyotakiwa. Wewe kazi kushindilia ugali mgumuuu.

Pili tafta pesa. Body building waachie mabaunsa. We ruka kamba na push-up kidogo baasi.
 
Mazoezi ya Body Weight ni mateso yakujitafutia tu hemu nunua Dambell zako uanze Free Weight Workout kama utatapikatapika kama unaumwa wewe miPushup 2000 ili iweje nawakati ukichukua Dumbell zako ukaoiga Bi lips 20 tu unakula Movie na body linajengeka kama wakiume.
Elezea vizuri ndo kitu gani hicho dambell
 
Kwanza unapiga tizi kali halaf msosi huli balanced diet inavyotakiwa. Wewe kazi kushindilia ugali mgumuuu.

Pili tafta pesa. Body building waachie mabaunsa. We ruka kamba na push-up kidogo baasi.
Mzee mi sitafuti body na nakula balance diet mi napiga mazoezi ya kawaida tu,sema na tupush up kdg sana ...mkuu sema hii imetokea tu! Kwani messi hajawahi kutapika Kwenye pich mkuu
 
Kwanza unapiga tizi kali halaf msosi huli balanced diet inavyotakiwa. Wewe kazi kushindilia ugali mgumuuu.

Pili tafta pesa. Body building waachie mabaunsa. We ruka kamba na push-up kidogo baasi.
Mbona mazoezi anayofanya hayahusu Body Building.
 
Kumjibu mpumbavu na upumbavu wake nami nitakuwa mpumbavu...okeee endeleaa ! Mkuu watoto wa juzi wa jf hahaha!
Watoto wa juzi? Fanya hata utafiti kabla uandike chief. Acha kufanya mazoezi sio fani yako.
 
Back
Top Bottom