Mazoezi bila mpangilio yanaweza kukuondoa uhai aisee!

Mazoezi bila mpangilio yanaweza kukuondoa uhai aisee!

Mazoezi ya Body Weight ni mateso yakujitafutia tu hemu nunua Dambell zako uanze Free Weight Workout kama utatapikatapika kama unaumwa wewe miPushup 2000 ili iweje nawakati ukichukua Dumbell zako ukaoiga Bi lips 20 tu unakula Movie na body linajengeka kama wakiume.
20,000 mpaka 150,000 kutegemeana na material, Design, uzito na ulipo nunua.
 
Habari ya Jumapili wanajukwaa pendwa kabisa,

Natumaini wote ni wazima wa afya.

Naenda Straight to the topic. Mimi kijana ambaye napenda sana mazoezi hasa ya body workout.

Yaani ni mazoezi ya pushups, pelvic floor muscles, squash, na jumping jacks hasa pushups napenda sana lakini sipendi na wala sitokuja kwenda gym. Kwa siku naweza piga pushups mia mbili na kumi asubuhi na jioni. Sasa kutokana na kubanwa na shughuli za hapa na pale nikasema nitakuwa nafanya hizi body workout weekends.

Aisee! Leo nimeamka nikafanya warmup kama dakika tano hivi. Nikaanza mazoezi Nikamaliza vizuri tu. Ile natembea hatua moja tu mara nikajikuta na nabanwa kutapika na kuharisha double impact at the same time, mwili hauna nguvu, kizunguzungu mbele giza. Nikawahi msalani ile kukaa niliharisha na kutapika sijawahi ona, jasho linanitoka ndo atleast mwili ukaanza kukaa sawa.

Hii ni first time inanitokea wenye experience ya hili suala hebu tupeni mrejesho maana leo Aisee. Ni Mungu Tu.

Namalizia kwa kusema: "Fitness is like a relationship you can't cheat on it and expect to work!
Hapo umeandika squash ila najua ulitaka kumaanisha squats.
 
Mazoezi ya Body Weight ni mateso yakujitafutia tu hemu nunua Dambell zako uanze Free Weight Workout kama utatapikatapika kama unaumwa wewe miPushup 2000 ili iweje nawakati ukichukua Dumbell zako ukaoiga Bi lips 20 tu unakula Movie na body linajengeka kama wakiume.
Na wewe hapa kwenye dambell ulitaka kuandika dumb bells
 
Sorry mkuu!! Ila hii ndo Jf ukikosea unakoselewa thanks...je ishawahi kukutokea..
Huko gym ambako hutaki kuingia ndiyo mazoezi yangu yalipoanzia.

So tupo sehemu mbili tofauti, mimi na wewe.
 
Huko gym ambako hutaki kuingia ndiyo mazoezi yangu yalipoanzia.

So tupo sehemu mbili tofauti, mimi na wewe.
Sureee! Primary reason mi ni mfupi ,na kamwili kadogo so nikienda gym mzee nitakuwa mfupi zaidi
 
Back
Top Bottom