Mazoezi bila mpangilio yanaweza kukuondoa uhai aisee!

Mazoezi bila mpangilio yanaweza kukuondoa uhai aisee!

Sureee! Primary reason mi ni mfupi ,na kamwili kadogo so nikienda gym mzee nitakuwa mfupi zaidi
Gym ni mkusanyiko wa mazoezi yote kwanini unaandika uwendi Gym while unafanya part ya Gym nyumbani...unakaririr gym ni kunyanyua chuma.
 
Habari ya Jumapili wanajukwaa pendwa kabisa,

Natumaini wote ni wazima wa afya.

Naenda Straight to the topic. Mimi kijana ambaye napenda sana mazoezi hasa ya body workout.

Yaani ni mazoezi ya pushups, pelvic floor muscles, squash, na jumping jacks hasa pushups napenda sana lakini sipendi na wala sitokuja kwenda gym. Kwa siku naweza piga pushups mia mbili na kumi asubuhi na jioni. Sasa kutokana na kubanwa na shughuli za hapa na pale nikasema nitakuwa nafanya hizi body workout weekends.

Aisee! Leo nimeamka nikafanya warmup kama dakika tano hivi. Nikaanza mazoezi Nikamaliza vizuri tu. Ile natembea hatua moja tu mara nikajikuta na nabanwa kutapika na kuharisha double impact at the same time, mwili hauna nguvu, kizunguzungu mbele giza. Nikawahi msalani ile kukaa niliharisha na kutapika sijawahi ona, jasho linanitoka ndo atleast mwili ukaanza kukaa sawa.

Hii ni first time inanitokea wenye experience ya hili suala hebu tupeni mrejesho maana leo Aisee. Ni Mungu Tu.

Namalizia kwa kusema: "Fitness is like a relationship you can't cheat on it and expect to work!
homa tuu maybe ulikua na maralia imeamua kukuatack baada ya kuchoka
 
Gym ni mkusanyiko wa mazoezi yote kwanini unaandika uwendi Gym while unafanya part ya Gym nyumbani...unakaririr gym ni kunyanyua chuma.
Sureee mkuuu,mi napenda mazoezi tu ambayo si ya kulift heavy
 
Mazoezi ya Body Weight ni mateso yakujitafutia tu hemu nunua Dambell zako uanze Free Weight Workout kama utatapikatapika kama unaumwa wewe miPushup 2000 ili iweje nawakati ukichukua Dumbell zako ukaoiga Bi lips 20 tu unakula Movie na body linajengeka kama wakiume.
Muwekee na picha ya icho kifaa
 
Kama haujisikii homa iyo ni normal! Kwa idadi ya push up ulizopiga ni nyingi mafuta yameyeyuka ndo sababu umeharisha na kutapika ni kutokana na mapigo ya moyo kwenda kasi sana ivyo umekosa pumzika ndo sababu kizungu zungu! Ukipiga push up usinyanyuke gafla piga goti kwanza tulia kama dakika 1 ndo usimame juu... Pia umeuzidishia mwili kazi ndo sababu umepata mambo yote hayo.... Mazoezi ni kwa kiasi bro pia jitaidi wakati unafanya mazoezi uwe na maji ya kunywa ili kupunguza kizungu zungu mzee wangu! Ukiona hali inazidi kuwa mbaya nenda hospital kumuone daktari
 
Kama haujisikii homa iyo ni normal! Kwa idadi ya push up ulizopiga ni nyingi mafuta yameyeyuka ndo sababu umeharisha na kutapika ni kutokana na mapigo ya moyo kwenda kasi sana ivyo umekosa pumzika ndo sababu kizungu zungu! Ukipiga push up usinyanyuke gafla piga goti kwanza tulia kama dakika 1 ndo usimame juu... Pia umeuzidishia mwili kazi ndo sababu umepata mambo yote hayo.... Mazoezi ni kwa kiasi bro pia jitaidi wakati unafanya mazoezi uwe na maji ya kunywa ili kupunguza kizungu zungu mzee wangu! Ukiona hali inazidi kuwa mbaya nenda hospital kumuone daktari
Thanks broda umetishaaa!!! Huu ushauri nitaufanyia kazi kindaki ndaki..
 
Kuna mazoezi tunafanya
*Kujenga misuri(Body boulding)
*Streghth na wepesi (Kama kuuhimiri/miliki mwili wako)
Niambie ni kivipi kichurachura hakijengi misuli.
 
Kijana nakushauri uwe unakimbia mimi ndio mazoezi yangu ayo aisee kabla nilikuwa mpigaji pushapu mzuri sana Ila kwa sasa nakimbia vibaya mno mpka najiogopa so fanya mazoezi ya kukimbia yanakujenga mwili sana alafu kuna faida nyingi unatengeneza pumzi za kutosha alafu unakuwa uchoki kwenye mambo yetu yale ya kikubwa so kuna tofauti kubwa sana kati ya pushapu na kukimbia

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kijana nakushauri uwe unakimbia mimi ndio mazoezi yangu ayo aisee kabla nilikuwa mpigaji pushapu mzuri sana Ila kwa sasa nakimbia vibaya mno mpka najiogopa so fanya mazoezi ya kukimbia yanakujenga mwili sana alafu kuna faida nyingi unatengeneza pumzi za kutosha alafu unakuwa uchoki kwenye mambo yetu yale ya kikubwa so kuna tofauti kubwa sana kati ya pushapu na kukimbia

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Tanzania tunahangaika kwenye riadha wewe upo umejificha na unakimbia mpaka unajiogopa
 
Mzee mi sitafuti body na nakula balance diet mi napiga mazoezi ya kawaida tu,sema na tupush up kdg sana ...mkuu sema hii imetokea tu! Kwani messi hajawahi kutapika Kwenye pich mkuu
😂😂😂😂😂😂 Kwa hiyo unajifananisha na Messi.
Wee umeona wapi mtu katapika na kuharisha same time. Hiyo tizi ilikua kubwa kupitiliza kuna malaria ya mbaaali sana ukaileta.
 
Binafsi mm zoezi langu kubwa ni shadow boxing, napiga shadow box ndan ya dk 20, nikitoka hapo mwili upo saaf kabisa, napiga asubuh nikiamka na jion kabla ya kulala
Kukimbia pia napenda ila nimekuwa mvivu kidogo
 
Kijana nakushauri uwe unakimbia mimi ndio mazoezi yangu ayo aisee kabla nilikuwa mpigaji pushapu mzuri sana Ila kwa sasa nakimbia vibaya mno mpka najiogopa so fanya mazoezi ya kukimbia yanakujenga mwili sana alafu kuna faida nyingi unatengeneza pumzi za kutosha alafu unakuwa uchoki kwenye mambo yetu yale ya kikubwa so kuna tofauti kubwa sana kati ya pushapu na kukimbia

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Eti enhe maana mi napiga puli na pushups kwa pamoja mkuu...ila demu ninae.
 
😂😂😂😂😂😂 Kwa hiyo unajifananisha na Messi.
Wee umeona wapi mtu katapika na kuharisha same time. Hiyo tizi ilikua kubwa kupitiliza kuna malaria ya mbaaali sana ukaileta.
Daaa sure mkubwa ukizingatia na malaria
 
Back
Top Bottom