Gym ni mkusanyiko wa mazoezi yote kwanini unaandika uwendi Gym while unafanya part ya Gym nyumbani...unakaririr gym ni kunyanyua chuma.Sureee! Primary reason mi ni mfupi ,na kamwili kadogo so nikienda gym mzee nitakuwa mfupi zaidi
homa tuu maybe ulikua na maralia imeamua kukuatack baada ya kuchokaHabari ya Jumapili wanajukwaa pendwa kabisa,
Natumaini wote ni wazima wa afya.
Naenda Straight to the topic. Mimi kijana ambaye napenda sana mazoezi hasa ya body workout.
Yaani ni mazoezi ya pushups, pelvic floor muscles, squash, na jumping jacks hasa pushups napenda sana lakini sipendi na wala sitokuja kwenda gym. Kwa siku naweza piga pushups mia mbili na kumi asubuhi na jioni. Sasa kutokana na kubanwa na shughuli za hapa na pale nikasema nitakuwa nafanya hizi body workout weekends.
Aisee! Leo nimeamka nikafanya warmup kama dakika tano hivi. Nikaanza mazoezi Nikamaliza vizuri tu. Ile natembea hatua moja tu mara nikajikuta na nabanwa kutapika na kuharisha double impact at the same time, mwili hauna nguvu, kizunguzungu mbele giza. Nikawahi msalani ile kukaa niliharisha na kutapika sijawahi ona, jasho linanitoka ndo atleast mwili ukaanza kukaa sawa.
Hii ni first time inanitokea wenye experience ya hili suala hebu tupeni mrejesho maana leo Aisee. Ni Mungu Tu.
Namalizia kwa kusema: "Fitness is like a relationship you can't cheat on it and expect to work!
Kuna mazoezi tunafanyaNieleweshe tafadhali
Nahisi maana mzee kuna siku sikulala na net wiki mbili zilizopita mkuu labda..homa tuu maybe ulikua na maralia imeamua kukuatack baada ya kuchoka
pole mkuuuNahisi maana mzee kuna siku sikulala na net wiki mbili zilizopita mkuu labda..
Sureee mkuuu,mi napenda mazoezi tu ambayo si ya kulift heavyGym ni mkusanyiko wa mazoezi yote kwanini unaandika uwendi Gym while unafanya part ya Gym nyumbani...unakaririr gym ni kunyanyua chuma.
Maana matapishi ya njano...pole mkuuu
Muwekee na picha ya icho kifaaMazoezi ya Body Weight ni mateso yakujitafutia tu hemu nunua Dambell zako uanze Free Weight Workout kama utatapikatapika kama unaumwa wewe miPushup 2000 ili iweje nawakati ukichukua Dumbell zako ukaoiga Bi lips 20 tu unakula Movie na body linajengeka kama wakiume.
FreebasicMuwekee na picha ya icho kifaa
Thanks broda umetishaaa!!! Huu ushauri nitaufanyia kazi kindaki ndaki..Kama haujisikii homa iyo ni normal! Kwa idadi ya push up ulizopiga ni nyingi mafuta yameyeyuka ndo sababu umeharisha na kutapika ni kutokana na mapigo ya moyo kwenda kasi sana ivyo umekosa pumzika ndo sababu kizungu zungu! Ukipiga push up usinyanyuke gafla piga goti kwanza tulia kama dakika 1 ndo usimame juu... Pia umeuzidishia mwili kazi ndo sababu umepata mambo yote hayo.... Mazoezi ni kwa kiasi bro pia jitaidi wakati unafanya mazoezi uwe na maji ya kunywa ili kupunguza kizungu zungu mzee wangu! Ukiona hali inazidi kuwa mbaya nenda hospital kumuone daktari
Niambie ni kivipi kichurachura hakijengi misuli.Kuna mazoezi tunafanya
*Kujenga misuri(Body boulding)
*Streghth na wepesi (Kama kuuhimiri/miliki mwili wako)
Tanzania tunahangaika kwenye riadha wewe upo umejificha na unakimbia mpaka unajiogopaKijana nakushauri uwe unakimbia mimi ndio mazoezi yangu ayo aisee kabla nilikuwa mpigaji pushapu mzuri sana Ila kwa sasa nakimbia vibaya mno mpka najiogopa so fanya mazoezi ya kukimbia yanakujenga mwili sana alafu kuna faida nyingi unatengeneza pumzi za kutosha alafu unakuwa uchoki kwenye mambo yetu yale ya kikubwa so kuna tofauti kubwa sana kati ya pushapu na kukimbia
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kama kawaida ila nakimbia kwa faida ya mwili tu ila si kwa mashindano mkuu[emoji2957][emoji2957][emoji2957]Tanzania tunahangaika kwenye riadha wewe upo umejificha na unakimbia mpaka unajiogopa
Huyu hajasema tu. Mtu anapiga zoezi mpaka malaria ambayo haipo inajileta?!Mbona mazoezi anayofanya hayahusu Body Building.
ππππππ Kwa hiyo unajifananisha na Messi.Mzee mi sitafuti body na nakula balance diet mi napiga mazoezi ya kawaida tu,sema na tupush up kdg sana ...mkuu sema hii imetokea tu! Kwani messi hajawahi kutapika Kwenye pich mkuu
Eti enhe maana mi napiga puli na pushups kwa pamoja mkuu...ila demu ninae.Kijana nakushauri uwe unakimbia mimi ndio mazoezi yangu ayo aisee kabla nilikuwa mpigaji pushapu mzuri sana Ila kwa sasa nakimbia vibaya mno mpka najiogopa so fanya mazoezi ya kukimbia yanakujenga mwili sana alafu kuna faida nyingi unatengeneza pumzi za kutosha alafu unakuwa uchoki kwenye mambo yetu yale ya kikubwa so kuna tofauti kubwa sana kati ya pushapu na kukimbia
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Daaa sure mkubwa ukizingatia na malariaππππππ Kwa hiyo unajifananisha na Messi.
Wee umeona wapi mtu katapika na kuharisha same time. Hiyo tizi ilikua kubwa kupitiliza kuna malaria ya mbaaali sana ukaileta.