Muuza Viat
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 2,826
- 7,388
Kukimbia boko lkn huwa natembea kutoka kibeberu mpaka nyangasa kila siku asubuh na pushups napiga kumi kila jionPiga pushups na kukimbia utapona kisukari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukimbia boko lkn huwa natembea kutoka kibeberu mpaka nyangasa kila siku asubuh na pushups napiga kumi kila jionPiga pushups na kukimbia utapona kisukari
Ungesema hivyo toka mwanzo, kuwa unazungumzia mazoezi ya kuchoma kitambi ili ueleweke.Mwakinyo ile ni kazi. Na mgonjwa anatakiwa apate mazoezi-tiba na si mazoezi kama mazoezi. Kwa mtu anayetaka kuchoma kitambi kwa kutumia mazoezi yaliyozoeleka, kuruka kamba ni mazoezi bora aidi.
Ilitakiwa kwenye maelezo yake azungumzie mazoezi ya kuchoma kitambi direct. Na sio kusema kuruka kamba ni zoezi bora kuliko mzoezi yote.Mtoa mada anatuelezea sisi wenye vitambi aina rahisi ya tizi tena yenye gharama nafuu
Km kuna aina nyingine yenye gharama nafuu tujuze
Tunaposema gharama tunamaanisha muda na vifaa vya kutekeleza tizi husika
Km umesoma bandiko utaona uchomaj wa kitamb umezungumziwa kwa kiwango kikubwaIlitakiwa kwenye maelezo yake azungumzie mazoezi ya kuchoma kitambi direct. Na sio kusema kuruka kamba ni zoezi bora kuliko mzoezi yote.
Mazoezi ni dhana pana sana, zipo aina nyingi za mazoezi na kila zoezi lina lengo lake.
Hilo unalolisema linaitwa skipping na lina angukia kwenye kundi la aerobic exercises, hivyo lina faida na hasara zake.
Lakini huwezi kusema hilo zoezi ni bora, kwasababu kila zoezi lina lengo lake, leo hii mwakinyo afanye zoezi hilo kwa ajili ya shughuli zake itakuwa si sahihi, lazima atafute muscle power na sio kwa kuruka kamba.
Pia kuna mazoezi tiba kwa ajili ya wagonjwa, huwezi kumrukisha kamba mgonjwa aliye serious lazima akufie, hivyo huwezi Kusema hilo zoezi ni bora kuliko yote.
Kwahiyo zoezi bora ni lile lenye lengo maalumu na lenye kukidhi mahitaji kutokana na uhitaji.
Bro mbona unamtoa akili ndugu huyu!!Kweli akili huna, Mwakinyo anaingiaje kwenye mazoezi yenye lengo la afya na changamoto za jamii? Nenda kule vitasa forum
Tatizo humu mnajifanya wajuaji sana, nimereply kutokana na kile kilichoandikwa, hayo mnayoyasema nyinyi mmejiongeza na kudhani kuwa mleta mada alitaka kuzungumzia mazoezi ya afya na changamoto za jamii.Kweli akili huna, Mwakinyo anaingiaje kwenye mazoezi yenye lengo la afya na changamoto za jamii? Nenda kule vitasa forum
Kama unazungumzia mazoezi tu ya kuchoma kitambi, hata mazoezi anayofanya mwakinyo(huu ni mfano tu), yanachoma calories sana kulinganisha na hilo la kuruka kamba.Km umesoma bandiko utaona uchomaj wa kitamb umezungumziwa kwa kiwango kikubwa
Hayo mazoezi tiba, ni haya haya mzoezi ya kawaida isipokuwa yanakuwa modified kulingana na hali ya mgonjwa na kuendelea ku monitor vital signs.Mwakinyo ile ni kazi. Na mgonjwa anatakiwa apate mazoezi-tiba na si mazoezi kama mazoezi. Kwa mtu anayetaka kuchoma kitambi kwa kutumia mazoezi yaliyozoeleka, kuruka kamba ni mazoezi bora aidi.
Fafanua mkuuTatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Braza unaleta utani ktk ishu sirias WallahKama unazungumzia mazoezi tu ya kuchoma kitambi, hata mazoezi anayofanya mwakinyo(huu ni mfano tu), yanachoma calories sana kulinganisha na hilo la kuruka kamba.
Sasa je kama lengo ni kuchoma tu kitambi ndio tufanye kama hayo ya mwakinyo ?
Eleza kitu specific ili ueleweke, pengine uko sahihi lakini namna unavyofikisha ujumbe unakuwa na utata.Braza unaleta utani ktk ishu sirias Wallah
Mtoa mada anajaribu kutuhamasisha sisi wenye vitambi walau turuke kamba
Lkn wew unataka tufanye mazoez ya mwakinyo ambae ni sinia kwenye swala la tizi
Braza unadhan tutayamudu hayo ya mwakinyo ikiwa pushups kumi tu na kuruka kamba dk10 kwa siku bado mtihan
Tupe aidia ya kufanya mazoez simpo tu ili kujiweka sawa kiafya ili kupunguza vitamb vya nyama choma na visunguraEleza kitu specific ili ueleweke, pengine uko sahihi lakini namna unavyofikisha ujumbe unakuwa na utata.
Kama mleta mada angekuwa ameandika hivyo toka hapo awali, nisingetoa maelezo hayo niliyotoa.
Unakaa kitunda namimi nipo huko hukoKukimbia boko lkn huwa natembea kutoka kibeberu mpaka nyangasa kila siku asubuh na pushups napiga kumi kila jion
Nipo kibeberuUnakaa kitunda namimi nipo huko huko
Kumbe ipo hivyo!, Mimi nilikua najua kukimbia ndio zoezi bora kuliko mengine.
Pushups 10 tu kiongozi, unazidiwa na Museveni, anapiga 30Kukimbia boko lkn huwa natembea kutoka kibeberu mpaka nyangasa kila siku asubuh na pushups napiga kumi kila jion