Mazoezi ya kuruka kamba ndiyo mazoezi bora kuliko yote

Mazoezi ya kuruka kamba ndiyo mazoezi bora kuliko yote

Naomba kujua hili.
Shemej yangu ana kilo 87 na urefu ni futi 6 na anakitambi kikubwa tuh.
Anasumbuliwa sana na Sukar.
Sasa ni mazoiz Yapi yatamfaa kubalance sukar yake na kitambi kiweze kupungua
Kwa urefu huo na uzito wake hawezi kuwa na kitambi kikubwa kihivyo. Ila uzito wake umezidi. Anatakiwa kupunguza kilo tatu nne hivi. Kama moyo uko fresh mazoezi ambayo kuna chance ndogo ya kuwa injured kama kuruka kamba yatamfaa sana. Ila ni vyema akaongea na mtaalamu wake kuhusu mazoezi kama anatumia dawa za kisukar.
 
Njooni mjipatie vifaa sasa..jitahidi uwe na set za vifaa hivi nyumbani ili uweze kukata tumbo
Yoga mats (kagoro) 50,000
Kamba 10,000
Weights kg 2 (pair) 40,000
Steps (ngazi) 65,000
Rollers 20,000
Tummy trimer 16,000
Chest expand 16,000
Cha kukushikiria miguu 35,000
Gloves 15,000 up to 20,000
Saa za mazoezi 100,000

Na vingine vingi unavyohitaji.
Ni check DMView attachment 2701405View attachment 2701403View attachment 2701402View attachment 2701404View attachment 2701406
IMG_20230322_135552_843.jpg
View attachment 2701408View attachment 2701407View attachment 2701409
 
Nakimbiaga km 2 kila jumapili. Vipi na gain ama niachane nayo?
Duh, mie jmosi na nakimbia km 6 total 12. Jumatatu hadi ijumaa, kuna siku naruka kamba kuna siku nafanya mazoezi ya viungo tu
 
Jaribu kila Km moja usitumie zaidi ya dkk kumi
Duh, mie jmosi na nakimbia km 6 total 12. Jumatatu hadi ijumaa, kuna siku naruka kamba kuna siku nafanya mazoezi ya viungo tu
 
tuambieni zoezi bora kuliko lote ili tulifanye, sisi wengine kila siku tunatembea kwa mguu kilimita kadhaa, hatuamin kama hiyo inatosha, tuambieni kipi bora kuliko yote tufanye. asanteni.
 
Jaribu kila Km moja usitumie zaidi ya dkk kumi
Leo sijakimbia barabarani ila nimeruka kamba zangu 800 kwa set ya mia mia. Mazoezi ya viungo aina 4 kwa set 10 x 3....nimetoka jasho la kutosha.....enough for today[emoji120]
 
Kambaa nisharuka lakini pia jogging nishafanya,
Kamba kiukweli inachosha upo hapo hapo tu,
Jogging unazunguka uwanja au unapandisha milima na sehem nyingine unaenjoy geograophical area,

JOGGING IS BETTER,
 
Km1 ukimbie dk zisizid10???


Kamba uruke 800 kwa seti ya 100???


Wadau mnapiga kweli tizi au mnavimba hapa jamvin na ID zenu feki???
 
Back
Top Bottom