Mazoezi ya kuruka kamba ndiyo mazoezi bora kuliko yote

Mtoa mada anatuelezea sisi wenye vitambi aina rahisi ya tizi tena yenye gharama nafuu


Km kuna aina nyingine yenye gharama nafuu tujuze


Tunaposema gharama tunamaanisha muda na vifaa vya kutekeleza tizi husika
Ilitakiwa kwenye maelezo yake azungumzie mazoezi ya kuchoma kitambi direct. Na sio kusema kuruka kamba ni zoezi bora kuliko mzoezi yote.
 


Kweli akili huna, Mwakinyo anaingiaje kwenye mazoezi yenye lengo la afya na changamoto za jamii? Nenda kule vitasa forum
 
Kweli akili huna, Mwakinyo anaingiaje kwenye mazoezi yenye lengo la afya na changamoto za jamii? Nenda kule vitasa forum
Bro mbona unamtoa akili ndugu huyu!!
Alikua anajaribu kutoa elimu pana ya huu mtazamo wa ndugu aliesema kuruka kamba ndio mazoezi best kulinganisha na mengine ndio amejaribu kudadavua mahitaji ya mazoezi kwa mhusika na amekusudia nini.
 
Kweli akili huna, Mwakinyo anaingiaje kwenye mazoezi yenye lengo la afya na changamoto za jamii? Nenda kule vitasa forum
Tatizo humu mnajifanya wajuaji sana, nimereply kutokana na kile kilichoandikwa, hayo mnayoyasema nyinyi mmejiongeza na kudhani kuwa mleta mada alitaka kuzungumzia mazoezi ya afya na changamoto za jamii.
 
Km umesoma bandiko utaona uchomaj wa kitamb umezungumziwa kwa kiwango kikubwa
Kama unazungumzia mazoezi tu ya kuchoma kitambi, hata mazoezi anayofanya mwakinyo(huu ni mfano tu), yanachoma calories sana kulinganisha na hilo la kuruka kamba.

Sasa je kama lengo ni kuchoma tu kitambi ndio tufanye kama hayo ya mwakinyo ?
 
Mwakinyo ile ni kazi. Na mgonjwa anatakiwa apate mazoezi-tiba na si mazoezi kama mazoezi. Kwa mtu anayetaka kuchoma kitambi kwa kutumia mazoezi yaliyozoeleka, kuruka kamba ni mazoezi bora aidi.
Hayo mazoezi tiba, ni haya haya mzoezi ya kawaida isipokuwa yanakuwa modified kulingana na hali ya mgonjwa na kuendelea ku monitor vital signs.
 
Kama unazungumzia mazoezi tu ya kuchoma kitambi, hata mazoezi anayofanya mwakinyo(huu ni mfano tu), yanachoma calories sana kulinganisha na hilo la kuruka kamba.

Sasa je kama lengo ni kuchoma tu kitambi ndio tufanye kama hayo ya mwakinyo ?
Braza unaleta utani ktk ishu sirias Wallah


Mtoa mada anajaribu kutuhamasisha sisi wenye vitambi walau turuke kamba


Lkn wew unataka tufanye mazoez ya mwakinyo ambae ni sinia kwenye swala la tizi


Braza unadhan tutayamudu hayo ya mwakinyo ikiwa pushups kumi tu na kuruka kamba dk10 kwa siku bado mtihan
 
Eleza kitu specific ili ueleweke, pengine uko sahihi lakini namna unavyofikisha ujumbe unakuwa na utata.

Kama mleta mada angekuwa ameandika hivyo toka hapo awali, nisingetoa maelezo hayo niliyotoa.
 
Eleza kitu specific ili ueleweke, pengine uko sahihi lakini namna unavyofikisha ujumbe unakuwa na utata.

Kama mleta mada angekuwa ameandika hivyo toka hapo awali, nisingetoa maelezo hayo niliyotoa.
Tupe aidia ya kufanya mazoez simpo tu ili kujiweka sawa kiafya ili kupunguza vitamb vya nyama choma na visungura
 
Weeee.....😯
Usiniambie.....😐
Kwahiyo kwa kile kichapo Mandoga mtu kazi alichopata, lile ni zoezi tosha...!!😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…