Hapa tuko pamojaMoyo haushtuki kwa mtindo huo. Kama unashida ya moyo kama Angina, BP nk haushauriwi kuanza mazoezi yoyote bila ushauri wa mtaalamu. Unaweza kuufanyisha kazi ambayo haiiwezi na mwisho kuingia matatani
Hizo ni chache sana, labda hatujui hali yako, lakini inatakiwa kila siku au pengine unazifidia ukiwa unatembea.Nakimbiaga km 2 kila jumapili. Vipi na gain ama niachane nayo?
Achana nalo [emoji119][emoji119]Zoezi la uhakika ni burpees.
Duuuh unafanya mazoezi eti unapiga push ups 10 halafu unasema ni mazoeziKukimbia boko lkn huwa natembea kutoka kibeberu mpaka nyangasa kila siku asubuh na pushups napiga kumi kila jion
Pole sana mkuuBinafsi naishi tu sifanyi zoezi la aina yeyote ile zaidi ya tatizo dogo la moyo ambalo ninalo toka nikiwa mtoto. Pamoja na kutambua umhuhimu wa mazoezi lakini naonaga kama nikianza mazoezi najitafutia matatizo.
Kitamb kinanipelekesha nduguDuuuh unafanya mazoezi eti unapiga push ups 10 halafu unasema ni mazoezi
Nyie watu wa Dar mlilogwa?
Je, kukimbia km 10 kwa siku kwa angalau siku 4 kwa wiki? Inasaidia? Maana majukumu mengiHizo ni chache sana, labda hatujui hali yako, lakini inatakiwa kila siku au pengine unazifidia ukiwa unatembea.
Unaweza kuruka mara ngapi mkuu? Nina week sasa naruka, wakati naanza ilikuwa 50times niko hoi, walau sasa hivi 250timesShukrani mkuu kumbe nipo sahihi huwa nafanya 30mns- 45mns
Ni bora utazame zaidi kwa upande wa time kuliko km.Je, kukimbia km 10 kwa siku kwa angalau siku 4 kwa wiki? Inasaidia? Maana majukumu mengi
Km 10 ni wastani wa saa moja hadi saa moja na dakika 10.Ni bora utazame zaidi kwa upande wa time kuliko km.
WHO wanataka angalau dakika 150 kwa wiki, kwahyo unaweza fanya hivyo lakini ufikishe tu hizo dakika.
Lakini unaposema unakuwa na majukumu, hayo majukumu ni yapi ? , maana yanaweza kuwa ni zoezi tosha.
Hii inategemeana na vitu vingi sana, kuna watu wanaweza kimbia hizo km pungufu ya huo muda tena mda mchache zaidi.Km 10 ni wastani wa saa moja hadi saa moja na dakika 10.
Naomba kujua hili.Mazoezi bora yanatakiwa kuwa na sifa nyingi. Sifa moja kuu ni yachome nguvu za kutosha. Chakula tunachokula kinaenda kuupa nguvu mwili wetu. Kama tunakula zaidi ya mahitaji ya miili yetu, chakula hicho kinaenda kuhifadhiwa kama "Kitambi."
NAomba kujua hili jambo.Mazoezi bora yanatakiwa kuwa na sifa nyingi. Sifa moja kuu ni yachome nguvu za kutosha. Chakula tunachokula kinaenda kuupa nguvu mwili wetu. Kama tunakula zaidi ya mahitaji ya miili yetu, chakula hicho kinaenda kuhifadhiwa kama "Kitambi."
Basi mazoezi bora yanatakiwa kuchoma kitambi cha kutosha. Katika mazoezi yaliyozoeleka hakuna mazoezi yanayopuuzwa kama kuruka kamba na hakuna yaliyo bora kama kuruka kamba(Salama, rahisi kwa pesana kufanya, yanahusisha viungo vyote nk). Mtu aliyekimbia kwa nusu saa na aliyeruka kamba kwa nusu saa, aliyeruka kama anakuwa amechoma sehemu kubwa ya kitambi kuliko aliyekimbia.
Nusu saa ya kuruka kamba anakuwa amechoka Kcal 600. Wakati yule aliyekimbia jogging anakuwa amechoma Kcal kama 500. Siku hizi kuna kamba za kisasa ambazo zinakuambia hata kiasi cha "kitambi" ulichochoma. Turukeni kamba. tuanzishe kampeni ya RUKA TANZANIA.
Halafu haufi auPiga pushups na kukimbia utapona kisukari
Tena kubwa sana, ni zaidi ya miruko 2,000Kuruka kamba nusu saa nzima ni kazi kubwa sana.
Inategemeana na unavyoruka, ni sawa na kukimbia inategemeana na speed.Kuruka kamba nusu saa nzima ni kazi kubwa sana.
naruka 700+ times nikishafika idadi hiyo naongeza ila sihesabuUnaweza kuruka mara ngapi mkuu? Nina week sasa naruka, wakati naanza ilikuwa 50times niko hoi, walau sasa hivi 250times
na niko poa.
Si ndo hapoMtoa mada amezungumzia kuchoma calories wewe unamzungumzia mwakinyo