Mazungumzo kati ya Rais na Vyama vya siasa , Vyama vyaambiwa vipeleke ajenda zao kwa John Shibuda au kwa Msajili wa Vyama vya siasa Francis Mutungi

Status
Not open for further replies.
Aliemshauri hivi Mh.Rais Mama Samia Suluhu ni hatari sana...
Lakini pia linaweza likaenda hivi hivi maana wao ndiyo wamiliki wetu na hakuna zaidi yao.
MAMA APO UMEPOTOSHWA NA UKAPOTOKA
 
Rais Ana Nia njema. Ila atakwamishwa Sana na baadhi ya washsuri wake. Kwani wengi bado Wana itikadi za hayat magufuli.
 
Sure haya ni matusi mazito sn
 

Toka awali nilisema ni ngumu viongozi wa kiafrika kukaa kwenye meza ya majadiliano bila kuwa na machafuko kwanza. Hili la kwamba huo mchakato utaaingiliwa bila kujali hii ni tetesi ama la, liko wazi mno. Ccm na vikundi vingine vyote vinavyofaidika na uwepo wa ccm madarakani, hakuna kitu vinaoogopa kama muafaka ambao ukiwepo unatishia mianya ya ulaji wa ccm na vibaraka wake. Bila machafuko tusitegemee mazungumzo yoyote yenye tija.
 
Namba moja na mbili ni vichwa matata sijapata ona hapa nchini, ukimuondoa lissu lkn.
 
Kumbe ni CHADEMA tu ndio wapinzani? Kama list ndio hiyo hakuna haja ya kuwasikiliza hao wapinzani, maana watataka au watataka COVID 19 watolewe Bungeni.
Kuna watu km Zitto Kabwe, Mbatia, Lipumba, Shibuda na wengineo haya mambo ya upinzani wa nyuma yangeisha sasa tutizame kwa ujumla la sivyo watasusia tena hata chaguzi za mitaa.
 
Kama ni hivyo nampa hongera mama Samia.

Ule wakati wakuja kunywa juice ikulu umepitwa na wakati.
 
I hope this a joke! Kama ni kweli basi hakuna nia yoyote ya kukutana na wapinzani.
Mkuu mama ana style yake ya uongozi ambayo ana β€œdelegate”, hata kama maamuzi ni yake, anapenda kushirikisha wengine ili isiwe yale ya β€œone man army”.
 
Mkishindwa siasa nendeni mkalime.
Mnapoteza Tu muda na CCM.
 
Kwa kifupi kila kikao lazina kiwe na agenda, katibu, mwenyekiti na wajumbe wa kikao.
Hapa naona mwenyekiti ni raisi, katibu ni huyo mwenye tume ya uchaguzi au shibuda (I think anawakilishaga vyama vya upinzani somehow).
Nadhani ndio protocol ilivo, ss hapa pia ni mtego kwa vyama vya siasa, mosi nani anakuwa katibu wa kikao wao ndo wachague kwa kupeleka hoja zao huko, I gues the less evil ni shibuda na ningeshauri hoja mojawapo iwe ya kuhusu tune ya uchaguzi na taratibu za uchaguzi.
Kwa kifupi hii chance ni holden chance kwa vyama vya upinzani, wasitumie jazba kuamua mambo yao au kuyawasilisha wachague watu makini ambao sio wapige kelele na wanauwezo wa kuwasilisha issues zao kiustaarabu na zikaeleweka.
 
Kila suala kuna protocols zake!
Rais sio wa kukurupukia tu, lazima kuwe na ajenda mezani
 
Mind you ni vyama yote vya siasa!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…