Mazungumzo ya kusimamisha vita Gaza, hati hati kukwama; Israel, HAMAS yupi ana hoja?

Mazungumzo ya kusimamisha vita Gaza, hati hati kukwama; Israel, HAMAS yupi ana hoja?

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
1. Vita Gaza vinapaswa kukoma. "Enough is enough!"

2. Hilo ni lililotakwa la dunia, kutokea UN huko; mataifa: moja moja; mashirika ya kimataifa, mashirika ya misaada ya kiutu, nk.

3. Kuna azimio UNSC kutaka vita hivi kusimamishwa kabisa sasa na mateka wote kuachiliwa.

4. Raia, wahanga wa vita hivi Gaza na Israel wanataka vita kusimama:

IMG_20240506_115304.jpg


5. Kuna migomo na maandamano kote duniani kutaka vita hivi visivyokuwa na tija kusimamishwa sasa na visisikike tena!

IMG_20240506_120219.jpg


6. Inafahamika kupatikana kwa taifa la Palestina ni mwarobaini wa kudumu kwa mzozo huu wa tangu 1948:

IMG_20240502_065026.jpg

IMG_20240502_065102.jpg


7. Kuna wahouthi na mashambulizi yao red sea kuendelea hadi vita vitakapo simama Gaza.

8. Kuna Hezbollah na mashambulizi yao kuendelea kaskazini mwa Israel hadi vita vitakapo simama Gaza.

9. Kuna HAMAS wanataka vita kusimama, kukoma kabisa, majeshi ya uvamizi kuondoka ambapo pia mateka wataachiliwa.

IMG_20240506_043504.jpg


10. Kuna Israel wanataka vita visimame kwa muda, ili wapewe mateka wao kwanza, halafu vita vitaendelea baadaye.

11. #9 na #10 katika wawili hao nani anakidhi matakwa ya dunia au wadau wakiwamo: mataifa, wahanga, mashirika ya kiutu, mashirika ya kimataifa, nk?

12. Kwa HAMAS na Israel kushikilia misimamo yao kama ilivyo hapo #9 na #10 mtawalia, jahazi linakwenda mrama na kuna atakayewajibika na ukwamishwaji matakwa halali ya dunia haya.

13. HAMAS inaishutumu Israel kwa kuwa kikwazo kwenye usitishwaji mapigano kinyume na matakwa ya dunia, hivyo wakulaumiwa ni Israel!

14. Kama mchezo wa kuigiza Israel inaishutumu HAMAS kwa kushikilia msimamo wake na kuwa kikwazo kwenye usitishwaji mapigano kinyume na matakwa ya dunia, hivyo walaumiwe HAMAS!

IMG_20240506_123157.jpg


13. Hivi nani asiyeona matakwa ya HAMAS, Houthi na hata Hezbollah ndiyo yaliyo matakwa ya dunia?

14. "Hivi Israel ni kwa kuiona dunia kama Tanzania ya akina @lucas_mwashambwa au wale wengine wa makwetu huku, walio kosa uthubutu wa kuhoji Kwa lolote; ila mabingwa wa kumwaga sifa na shukurani; bila shaka ikiwamo hata kwenye kuleta vita na hata kuirejelea baadaye au kuhakikisha haiishi kabisa kama hii ya huko Gaza?!"

15. Yahitaji kuwa zezeta kweli kweli tena wa kiwango cha kimataifa kumwelewa mwisiraeli hutumia kiungi kipi mwilini kufikiria na hata kudhani kuwa watu wote ni maboya boya tu, kama kina MK254 wa kule Buza!

16. Kwa porojo hizi za Israeli, kwa hakika hata mtoto mdogo wa darasa la tatu, hawezi kudanganyika!
 
1. Vita Gaza vinapaswa kukoma. "Enough is enough!"

2. Hilo ni lililotakwa la dunia, kutokea UN huko; mataifa: moja moja; mashirika ya kimataifa, mashirika ya misaada ya kiutu, nk.

3. Kuna azimio UNSC kutaka vita hivi kusimamishwa kabisa sasa na mateka wote kuachiliwa.

4. Raia, wahanga wa vita hivi Gaza na Israel wanataka vita kusimama:

View attachment 2982363

5. Kuna migomo na maandamano kote duniani kutaka vita hivi visivyokuwa na tija kusimamishwa sasa na visisikike tena!

View attachment 2982381

6. Inafahamika kupatikana kwa taifa la Palestina ni mwarobaini wa kudumu kwa mzozo huu wa tangu 1948:


7. Kuna wahouthi na mashambulizi yao red sea kuendelea hadi vita vitakapo simama Gaza.

8. Kuna Hezbollah na mashambulizi yao kuendelea kaskazini mwa Israel hadi vita vitakapo simama Gaza.

9. Kuna HAMAS wanataka vita kusimama, kukoma kabisa, majeshi ya uvamizi kuondoka ambapo pia mateka wataachiliwa.

View attachment 2982404

10. Kuna Israel wanataka vita visimame kwa muda, ili wapewe mateka wao kwanza, halafu vita vitaendelea baadaye.

11. #9 na #10 katika wawili hao nani anakidhi matakwa ya dunia, wadau wakiwamo: mataifa, wahanga, mashirika ya kiutu, mashirika ya kimataifa, nk?

12. Kwa HAMAS na Israel kushikilia misimamo yao kama ilivyo hapo #9 na #10 mtawalia, jahazi linakwenda mrama na kuna atakayewajibika na ukwamishwaji matakwa halali ya dunia haya.

13. HAMAS inaishutumu Israel kwa kuwa kikwazo kwenye usitishwaji mapigano kinyume na matakwa ya dunia, hivyo wakulaumiwa ni Israel!

14. Kama mchezo wa kuigiza Israel inaishutumu HAMAS kwa kushikilia msimamo wake na kuwa kikwazo kwenye usitishwaji mapigano kinyume na matakwa ya dunia, hivyo walaumiwe HAMAS!

13. Hivi nani asiyeona matakwa ya HAMAS, Houthi na hata Hezbollah ndiyo yaliyo matakwa ya dunia?

14. "Hivi Israel ni kwa kuiona dunia kama Tanzania ya akina @lucas_mwashambwa au wale wengine wa makwetu huku, walio kosa uthubutu wa kuhoji Kwa lolote; ila mabingwa wa kumwaga sifa na shukurani; bila shaka ikiwamo hata kwenye kuleta vita na hata kuirejelea baadaye au kuhakikisha haiishi kabisa kama hii ya huko Gaza?!"

15. Yahitaji kuwa zezeta kweli kweli tena wa kiwango cha kimataifa kumwelewa mwisiraeli hutumia kiungi kipi mwilini kufikiria na hata kudhani kuwa watu wote ni maboya boya tu, kama kina MK254 wa kule Buza!

16. Kwa porojo hizi za Israeli, kwa hakika hata mtoto mdogo wa darasa la tatu, hawezi kudanganyika!
Israeli zile propaganda zao zimefeli .wanaona aibu wakiondoa majeshi wataonekana wameshindwa vita
 
Israeli zile propaganda zao zimefeli .wanaona aibu wakiondoa majeshi wataonekana wameshindwa vita

1. Walidhani dunia imejaa maboya na mabombonya aina ya kina MK254, Mzee Kigogo, Moisemusajiografii, denoo JG na ya namna hiyo na kuwa wengine watawachuuza wote na kwa siku zote.

2. Walipo sasa wamekwisha wagharimu Biden urais marekani, na uwaziri mkuu Sunak; uko kwenye utetezi wa kiwango cha theluji. Ngoja tuone!
 
1. Vita Gaza vinapaswa kukoma. "Enough is enough!"

2. Hilo ni lililotakwa la dunia, kutokea UN huko; mataifa: moja moja; mashirika ya kimataifa, mashirika ya misaada ya kiutu, nk.

3. Kuna azimio UNSC kutaka vita hivi kusimamishwa kabisa sasa na mateka wote kuachiliwa.

4. Raia, wahanga wa vita hivi Gaza na Israel wanataka vita kusimama:

View attachment 2982363

5. Kuna migomo na maandamano kote duniani kutaka vita hivi visivyokuwa na tija kusimamishwa sasa na visisikike tena!

View attachment 2982381

6. Inafahamika kupatikana kwa taifa la Palestina ni mwarobaini wa kudumu kwa mzozo huu wa tangu 1948:

View attachment 2982419
View attachment 2982418

7. Kuna wahouthi na mashambulizi yao red sea kuendelea hadi vita vitakapo simama Gaza.

8. Kuna Hezbollah na mashambulizi yao kuendelea kaskazini mwa Israel hadi vita vitakapo simama Gaza.

9. Kuna HAMAS wanataka vita kusimama, kukoma kabisa, majeshi ya uvamizi kuondoka ambapo pia mateka wataachiliwa.

View attachment 2982404

10. Kuna Israel wanataka vita visimame kwa muda, ili wapewe mateka wao kwanza, halafu vita vitaendelea baadaye.

11. #9 na #10 katika wawili hao nani anakidhi matakwa ya dunia au wadau wakiwamo: mataifa, wahanga, mashirika ya kiutu, mashirika ya kimataifa, nk?

12. Kwa HAMAS na Israel kushikilia misimamo yao kama ilivyo hapo #9 na #10 mtawalia, jahazi linakwenda mrama na kuna atakayewajibika na ukwamishwaji matakwa halali ya dunia haya.

13. HAMAS inaishutumu Israel kwa kuwa kikwazo kwenye usitishwaji mapigano kinyume na matakwa ya dunia, hivyo wakulaumiwa ni Israel!

14. Kama mchezo wa kuigiza Israel inaishutumu HAMAS kwa kushikilia msimamo wake na kuwa kikwazo kwenye usitishwaji mapigano kinyume na matakwa ya dunia, hivyo walaumiwe HAMAS!

View attachment 2982432

13. Hivi nani asiyeona matakwa ya HAMAS, Houthi na hata Hezbollah ndiyo yaliyo matakwa ya dunia?

14. "Hivi Israel ni kwa kuiona dunia kama Tanzania ya akina @lucas_mwashambwa au wale wengine wa makwetu huku, walio kosa uthubutu wa kuhoji Kwa lolote; ila mabingwa wa kumwaga sifa na shukurani; bila shaka ikiwamo hata kwenye kuleta vita na hata kuirejelea baadaye au kuhakikisha haiishi kabisa kama hii ya huko Gaza?!"

15. Yahitaji kuwa zezeta kweli kweli tena wa kiwango cha kimataifa kumwelewa mwisiraeli hutumia kiungi kipi mwilini kufikiria na hata kudhani kuwa watu wote ni maboya boya tu, kama kina MK254 wa kule Buza!

16. Kwa porojo hizi za Israeli, kwa hakika hata mtoto mdogo wa darasa la tatu, hawezi kudanganyika!
Jibu la hoja nanba 13 na 14 za kwanza kabla ya repeated.
Uwepo wa huo mgogoro unawanufaisha sana viongozi wa Hamas kupitia misaada.
Weekend hii timu ya Hamas wameondoka Cairo kwenda Qatar kujadiliana na hao mabionea wao.

Hakuna kiongozi wa Hamas ana uchungu wa Wapalestina, ila wanawatumia wapaletina kutajirika.

Screenshot_20240411-141443~2.png
 
1. Walidhani dunia imejaa maboya na mabombonya aina ya kina MK254, Mzee Kigogo, Moisemusajiografii, denoo JG na ya namna hiyo na kuwa wengine watawachuuza wote na kwa siku zote.

2. Walipo sasa wamekwisha wagharimu Biden urais marekani, na uwaziri mkuu Sunak; uko kwenye utetezi wa kiwango cha theluji. Ngoja tuone!
Huwa unaleta hoja vizuri, unajitahidi kujificha lakini wapi, asili haifichiki😁
 
nafikiri hamas wamechapika vya kutosha, kwa sasa hamas na wana gaza wote wanatia huruma , vita visitishwe sasa, na israel itoe onyo la mwisho kuwa kama hamas watajivuruga tena kutaka kushambulia ndani ya ISRAEL, basi wajue kinachofata ni kudondoshewa ka nyuklia na shughuli ya gaza iishie hapo.

but i hope hamas watakaa kwa adabu, maana bora ugali tembele wa amani kuliko hz tifua tifua za wana wa yakobo
 
nafikiri hamas wamechapika vya kutosha, kwa sasa hamas na wana gaza wote wanatia huruma , vita visitishwe sasa, na israel itoe onyo la mwisho kuwa kama hamas watajivuruga tena kutaka kushambulia ndani ya ISRAEL, basi wajue kinachofata ni kudondoshewa ka nyuklia na shughuli ya gaza iishie hapo.

but i hope hamas watakaa kwa adabu, maana bora ugali tembele wa amani kuliko hz tifua tifua za wana wa yakobo

1. Haipo shaka kuwa vita hii isiyokuwa na uhalali wowote ni bora ikasimama na suluhisho la kudumu likafikiwa:

2. Zingatia #6 pale:

"Inafahamika kupatikana kwa taifa la Palestina ni mwarobaini wa kudumu kwa mzozo huu wa tangu 1948:"

IMG_20240502_065026.jpg

IMG_20240502_065102.jpg
 
nafikiri hamas wamechapika vya kutosha, kwa sasa hamas na wana gaza wote wanatia huruma , vita visitishwe sasa, na israel itoe onyo la mwisho kuwa kama hamas watajivuruga tena kutaka kushambulia ndani ya ISRAEL, basi wajue kinachofata ni kudondoshewa ka nyuklia na shughuli ya gaza iishie hapo.

but i hope hamas watakaa kwa adabu, maana bora ugali tembele wa amani kuliko hz tifua tifua za wana wa yakobo
Kazi iendelee mpaka watokomezwe kabisa!
Hamna kumpa adui nafasi ya kujipanga tena
 
Huwa unaleta hoja vizuri, unajitahidi kujificha lakini wapi, asili haifichiki😁

Wacha nikupe vidonge vyako kwa urefu ukapate kuelewa uwe unataka au hutaki:

1. Unadhani hoja huja vizuri ni ajali ndugu? Ukiona vyaelea, vimeundwa!

2. Ulichosema hapo Kwa ujumla ndiyo iliyo tafsiri ya vitabuni kuyahusu "andiko la msomi!"

3. Hapo #2, hebu tuonyeshe mada zako au andika lako nawe tuone. Kwamba kama vimaandiko vyako ndivyo hivi ninavyoviona na kuvipuuza hapa na pale huoni kuwa unatia aibu ndugu?

4. Msomi aliyeelimika anategemewa kuwa uwezo na uthubutu wa kuhoji na kujadiliana kwa hoja.

5. Hapo #4, ndipo ulipo msingi wa msomi nguli, role model wa wenye kujua maana; Profesa wa Sheria Issa Shivji:

Shivji: Chimbuko la wasiokuwa na Hoja au uthubutu wa Kuhoji, linalo ligharimu Taifa (Part 1)

6. Msomi asiyeelimika, huyo ni sawa na boda boda tu. Zingatia boda boda ana uwezo upi wa kujadili nini?

7. Hapo #6, ukweli mchungu huyo ni ushabiki ushabiki, ubishi ubishi, uzushi uzushi, upuuzi upuuzi, kuruka ruka huku na kule akiwaita wengine pasipokuwa na ushahidi au ukweli wowote, alimradi ana mdomo wa kuongea; yaani kama kuku tu!

8. Boda boda mkute kwenye mada za Simba na Yanga, na habari za fecon piki piki huko!

9. Jiulize kujikita kujadili goli la Aziz Ki la juzi au mwaka juzi, goli la Messi, Ronaldo au Mbape au Zidane na kina Metarazi huko; kama si uwenda wazimu ni nini ndugu? Aliyeelimika anafika je huko? Tufike mahali tuelewane wajameni!

10. Msomi snajadili nini na boda boda? Makazi yenu si vijiweni huko? Ikitokea ajali huna hata haja ya kuuliza aliyesababisha.

11. Kama ni mijadala huku ni hoja tu vinginevyo ungana na mashabiki wenzio kina MK254 na wafia dini wenzenu vijiweni huko.

12. Hapo #11, zingatia kazi zenu hizo wengine hazituhusu! Ni kazi za laana!

13. Bila kusahau, kwani utawaona wenzio kina MK254, Mzee Kigogo, denoo JG na wa namna hiyo hapa? Katu!

14. Kama nawe viroja vyako ni kama vyao wawahi vijiweni huko, mada za Simba na Yanga na fecon piki piki mtaelewana sana!

"Habari yenyewe ndiyo hiyo.
 
nafikiri hamas wamechapika vya kutosha, kwa sasa hamas na wana gaza wote wanatia huruma , vita visitishwe sasa, na israel itoe onyo la mwisho kuwa kama hamas watajivuruga tena kutaka kushambulia ndani ya ISRAEL, basi wajue kinachofata ni kudondoshewa ka nyuklia na shughuli ya gaza iishie hapo.

but i hope hamas watakaa kwa adabu, maana bora ugali tembele wa amani kuliko hz tifua tifua za wana wa yakobo
Ukiona mbwa yupo juu ya mtu jua kapandishwa, hamas wakiwa wenyewe as wenyewe hawana lolote ila kiburi wanapewa na mfugaji wao yaan Iran ambayo ilishaapa lazima iifute israel kwenye uso wa dunia! Hivyo hamas itaendelea kuwa mwiba kwa Israel kwa muda
 
Wacha nikupe vidonge vyako kwa urefu ukapate kuelewa uwe unataka au hutaki:

1. Unadhani hoja huja vizuri ni ajali ndugu? Ukiona vyaelea, vimeundwa!

2. Ulichosema hapo Kwa ujumla ndiyo iliyo tafsiri ya vitabuni kuyahusu "andiko la msomi!"

3. Hapo #2, hebu tuonyeshe mada zako au andika andiko lako nawe tuone. Kwamba kama vimaandiko vyako ndivyo hivi ninavyoviona na kuvipuuza hapa na pale huoni kuwa unatia aibu ndugu?

4. Msomi aliyeelimika anategemewa kuwa uwezo na uthubutu wa kuhoji na kujadiliana kwa hoja.

5. Hapo #4, ndipo ulipo msingi wa msomi nguli, role model wa wenye kujua maana; Profesa wa Sheria Issa Shivji:

Shivji: Chimbuko la wasiokuwa na Hoja au uthubutu wa Kuhoji, linalo ligharimu Taifa (Part 1)

6. Msomi asiyeelimika, huyo ni sawa na boda boda tu. Zingatia boda boda ana uwezo upi wa kujadili nini?

7. Hapo #6, ukweli mchungu huyo ni ushabiki ushabiki, ubishi ubishi, uzushi uzushi, upuuzi upuuzi, kuruka ruka huku na kule akiwaita wengine pasipokuwa na ushahidi au ukweli wowote, alimradi ana mdomo wa kuongea; yaani kama kuku tu!

8. Boda boda mkute kwenye mada za Simba na Yanga, na habari za fecon piki piki huko!

9. Jiulize kujikita kujadili goli la Aziz Ki la juzi au mwaka juzi, goli la Messi, Ronaldo au Mbape au Zidane na kina Metarazi huko; kama si uwenda wazimu ni nini ndugu? Aliyeelimika anafika je huko? Tufike mahali tuelewane wajameni!

10. Msomi najadili nini na boda boda? Makazi yenu si vijiweni huko? Ikitokea ajali huna hata haja ya kuuliza aliyesababisha.

11. Kama ni mijadala huku ni hoja tu vinginevyo ungana na mashabiki wenzio kina MK254 na wafia dini wenzenu vijiweni huko.

12. Hapo #11, zingatia kazi zenu hizo wengine hazituhusu! Ni kazi za laana!

13. Bila kusahau, kwani utawaona wenzio kina MK254, Mzee Kigogo, denoo JG na wa namna hiyo hapa? Katu!

14. Kama nawe viroja vyako ni kama vyao wawahi vijiweni huko, mada za Simba na Yanga na fecon piki piki mtaelewana sana!

"Habari yenyewe ndiyo hiyo.
Kwanza nilizani ni mtu mwenye akili timamu, kumbe ni hamnazo.
Elimu yako ndogo sana, huna usomi wowote. Hakuna msomi asietambua kuwa boda boda ni kazi sio elimu. Kama sifa ya msomi ni kuandika kama mtoto wa pre unity basi heri uwe tu msomi. Hujui hata kuunda sentensi ikaleta maana unajiita msomi🤣. Kaangalie machapisho ya huyo Shivji uone kama anaandika ujinga kama wako.

Wewe ni mwimba mipasho tu. Ni thread gani ya maana uliyoandika hapa JF zaidi ya ku outline mipasho na screenshots😀. Kama wewe msomi, andika thread kama masomi, utajibiwa kisomi. Nakujibu kama unavyokuja maana uwezo wako mdogo kwa nini nipambane kukuniju kisomi. Try me, lete hoja kisomi na iwe na aya zenye kuleta maana nitakujibu kisomi.
 
Tatizo ni kuwa wengine wako Hadi Marekani, Ulaya na dunia nzima kama hivi:

a) Marekani: Migomo kwa Palestina yasambaa kama moto wa nyika!

b) Ule Moto wa nyika wa migomo Marekani, wapindukia Canada!

2. Itakuwa je sasa kama kumbe hadi mabinti nao ni katikq wanaokinukisha kwa niaba ya Palestina na HAMAS huko?

Violent suppression of student protests defines US democracy

3. Kumbuka wamesema hakuna kupoa!

View attachment 2982492
Hata huko Marekani watatokomezwa tu maana Hamna namna sasa
 
Kwanza nilizani ni mtu mwenye akili timamu, kumbe ni hamnazo.
Elimu yako ndogo sana, huna usomi wowote. Hakuna msomi asietambua kuwa boda boda ni kazi sio elimu. Kama sifa ya msomi ni kuandika kama mtoto wa pre unity basi heri uwe tu msomi. Hujui hata kuunda sentensi ikaleta maana unajiita msomi🤣. Kaangalie machapisho ya huyo Shivji uone kama anaandika ujinga kama wako.

Wewe ni mwimba mipasho tu. Ni thread gani ya maana uliyoandika hapa JF zaidi ya ku outline mipasho na screenshots😀. Kama wewe msomi, andika thread kama masomi, utajibiwa kisomai. Nakujibu kama unavyokuja maana uwezo wako mdogo kwa nini nipambane kukunibu kisomi. Try me, lete hoja kisomi na iwe na aya zenye kuleta maana nutakujibu.

1. Quality moja ya kuonyesha hujaelimika ni matumizi ya "I" Nili-, nika- nk; yaani nilisema, nilidhani, nk.

2. Ukielimika wataona ubora wa maandiko yako wenyewe. Nikukumbushe hapa:

IMG_20240506_152410.jpg


3. Hapo #2, huo ni ushahidi tosha kuwa ulishafika bei na sasa hizi mpya zako, bila shaka ni zile zinazoitwa "last kicks of a dying horse!"

4. Tambua nilichoandika, kama kilivyo wacha kukuruka kama kuku aliyeliwa kichwa, kwani unazidi kujianika zaidi, ndugu:

IMG_20240506_152119.jpg


Wapi nimesema boda boda ni elimu?!

5. Uandishi?! Kumbe hujui tofauti za maandishi na kwa nini hapa naandika kwa uandishi huu usioujua hata waitwa je?

6. Hebu kaangalie kwenye biblia uuone uandishi upi uliotumika? Kumbe wewe unadhani unayasoma maandiko marefu haya tena bila shuruti wala kutegemea kupata marks; kuwa ni kwa sababu ya stamina yako? Mbona hukuona ni refu mno kuwa litakupotezea muda na kukomaa nalo hadi mwisho?

7. Vipi navyokurejea popote kwenye andiko langu? Hebu jaribu kunirejea kwenye lako tuone kama tutapafika?

8. Hapo #7, kwani kuna hata "haja ya kukuambia maana, wewe usiyejua maana?!" Kalagabaho!

9. Najiita msomi?! Wapi nimejiita msomi? Au hata wapi nimejiongelea mimi kama mimi ndugu?

10. Kulikuwa na haya hapa.

IMG_20240506_153421.jpg


Vipi hukuyaona? Liko wapi andiko lako japo moja la maana tuone umahiri wako?

11. Zingatia kama ni haya ambayo bila shaka utakuwa umegundua tunaya ignore;


12. Tafadhali peleka kwa boda boda wenzio huko. Tuupate wapi wengine muda na magoli ya kina Aziz Ki, felcon pikipiki au lolote na ufia dini zenu?


13. Hayo kwenu ni vijiweni huko na kina MK254, Moisemusajiografii, denoo JG na wa namna hiyo kwani unadhani hawaoni au hawapo?

IMG_20240506_154150.jpg


"Ni hayo tu ndugu mjumbe!"
 
Kwani hao Hamas walitumwa na dunia wakaichokoze Israel
Israel ni jino kwa jino upanga kwa upanga hawana mbambamba risasi na mabomu ndiyo zinaongea zaidi.
 
Kwani hao Hamas walitumwa na dunia wakaichokoze Israel
Israel ni jino kwa jino upanga kwa upanga hawana mbambamba risasi na mabomu ndiyo zinaongea zaidi.

1. Wewe utakuwa na uelewa kuliko wahanga wa huko?

IMG_20240502_065026.jpg

IMG_20240502_065102.jpg

IMG_20240429_082420.jpg


2. Kwa makasiriko yako, kwani wewe umepoteza family members wangapi ndugu?
 
1. Vita Gaza vinapaswa kukoma. "Enough is enough!"

2. Hilo ni lililotakwa la dunia, kutokea UN huko; mataifa: moja moja; mashirika ya kimataifa, mashirika ya misaada ya kiutu, nk.

3. Kuna azimio UNSC kutaka vita hivi kusimamishwa kabisa sasa na mateka wote kuachiliwa.

4. Raia, wahanga wa vita hivi Gaza na Israel wanataka vita kusimama:

View attachment 2982363

5. Kuna migomo na maandamano kote duniani kutaka vita hivi visivyokuwa na tija kusimamishwa sasa na visisikike tena!

View attachment 2982381

6. Inafahamika kupatikana kwa taifa la Palestina ni mwarobaini wa kudumu kwa mzozo huu wa tangu 1948:

View attachment 2982419
View attachment 2982418

7. Kuna wahouthi na mashambulizi yao red sea kuendelea hadi vita vitakapo simama Gaza.

8. Kuna Hezbollah na mashambulizi yao kuendelea kaskazini mwa Israel hadi vita vitakapo simama Gaza.

9. Kuna HAMAS wanataka vita kusimama, kukoma kabisa, majeshi ya uvamizi kuondoka ambapo pia mateka wataachiliwa.

View attachment 2982404

10. Kuna Israel wanataka vita visimame kwa muda, ili wapewe mateka wao kwanza, halafu vita vitaendelea baadaye.

11. #9 na #10 katika wawili hao nani anakidhi matakwa ya dunia au wadau wakiwamo: mataifa, wahanga, mashirika ya kiutu, mashirika ya kimataifa, nk?

12. Kwa HAMAS na Israel kushikilia misimamo yao kama ilivyo hapo #9 na #10 mtawalia, jahazi linakwenda mrama na kuna atakayewajibika na ukwamishwaji matakwa halali ya dunia haya.

13. HAMAS inaishutumu Israel kwa kuwa kikwazo kwenye usitishwaji mapigano kinyume na matakwa ya dunia, hivyo wakulaumiwa ni Israel!

14. Kama mchezo wa kuigiza Israel inaishutumu HAMAS kwa kushikilia msimamo wake na kuwa kikwazo kwenye usitishwaji mapigano kinyume na matakwa ya dunia, hivyo walaumiwe HAMAS!

View attachment 2982432

13. Hivi nani asiyeona matakwa ya HAMAS, Houthi na hata Hezbollah ndiyo yaliyo matakwa ya dunia?

14. "Hivi Israel ni kwa kuiona dunia kama Tanzania ya akina @lucas_mwashambwa au wale wengine wa makwetu huku, walio kosa uthubutu wa kuhoji Kwa lolote; ila mabingwa wa kumwaga sifa na shukurani; bila shaka ikiwamo hata kwenye kuleta vita na hata kuirejelea baadaye au kuhakikisha haiishi kabisa kama hii ya huko Gaza?!"

15. Yahitaji kuwa zezeta kweli kweli tena wa kiwango cha kimataifa kumwelewa mwisiraeli hutumia kiungi kipi mwilini kufikiria na hata kudhani kuwa watu wote ni maboya boya tu, kama kina MK254 wa kule Buza!

16. Kwa porojo hizi za Israeli, kwa hakika hata mtoto mdogo wa darasa la tatu, hawezi kudanganyika!
Usalama wa Hamas upo kwenye mateka walio washikilia. Israel inataka mateka lakin hawataki vita viishe.
Ushaur wangu.
Hamas iachilie mateka wote kisha itangaze kisalimu halafu wakimbilie lebanon wakaendeleze harakati na hizbulla.
Maana hata wakiachilia mateka watapigwa kama walivo pigwa kaskazini. Na wakiendelea kuwashikilia ndo kabisaa wanamtia hasira Netanyahu.
Tumaini pekee la hamas ni human shield iliyopo rafa. Hizbulla houth na iran hawawez kuwasaidia tena.
Kupanda Mchongoma kushuka Ndio Ngoma .
Ooh Haleluya.
 
Usalama wa Hamas upo kwenye mateka walio washikilia. Israel inataka mateka lakin hawataki vita viishe.
Ushaur wangu.
Hamas iachilie mateka wote kisha itangaze kisalimu halafu wakimbilie lebanon wakaendeleze harakati na hizbulla.
Maana hata wakiachilia mateka watapigwa kama walivo pigwa kaskazini. Na wakiendelea kuwashikilia ndo kabisaa wanamtia hasira Netanyahu.
Tumaini pekee la hamas ni human shield iliyopo rafa. Hizbulla houth na iran hawawez kuwasaidia tena.
Kupanda Mchongoma kushuka Ndio Ngoma .
Ooh Haleluya.

1. Usalama wa HAMAS uko mikononi mwao. Wala HAMAS hajutii 0ct 7.

2. Hapo #1, kwani mateka HAMAS nani aliwapa?

3. Haupo mkochongoma wa kushuka hapa. HAMAS anataka nchi yake na anaijua gharama yake:

IMG_20240506_171816.jpg


4. Kwani huwaoni wanaomtaka katiba mpya bila kuwa tayari kuilipa gharama yake hata kwa kuwaangalia usoni tu?

5. Hapo #4, unadhani ipo katiba mpya hapo? Labda kwa hisani ya CCM!

6. Kwamba Isreal hadi kwa maswahiba wake Marekani, Canada, Ulaya Magharibi huko nk ngoma iko hivi:

IMG_20240505_194745.jpg


7. Wadhani Israel yashuka kwenye mdodo tu iliokuwa imeupanda na si mchongoma?

8. Unadhani harufu ya Palestine state hainukii karibu zaidi leo kuliko siku yoyote katika historia?

9. All in all usizisahau tambo za kwenye negotiations ambazo hazijafungwa rasmi kama "failed!"
 
Nimepoteza ndugu zangu wawili Clemence Mtenga na Joshua Mollel.

1. Sikukusikia kufiwa na kina Ben, Azory, Lijenje, Mawazo nk, Wala wowote waliookotwa kwenye viroba.

2. Sikukusikia kufiwa wa ajali za majini, ardhini wala anga.

3. Sikukusikia ukjwaomboleza wa kuuliwa na mafuriko au hata wa kuuliwa na wanyama Wakali.

4. Kwani hao uliowataja na Hawa hapo tofauti yake Nini ndugu?

5. Haipo kuwa unalia machozi ya mamba TU ndugu?

Kuelekea Maridhiano kusimamisha vita, Israel yajikuta njia panda!

6. Hata hivyo tulizana na kaza roho, tunapiga hatua kwenye yale mambo yeti ya maridhiano kuliko kina mwamba.
 
Back
Top Bottom