Mazungumzo ya kusimamisha vita Gaza, hati hati kukwama; Israel, HAMAS yupi ana hoja?

Sawa. Mara nyingi sana nawataja na kuwakumbuka Akwilini, Ben, Azory, Mwangosi na Lissu aliyenusurika kifo baada ya kumiminiwa risasi na wasiojulikana wanaofugwa na anaejulikana
Unapodai haki yako hakikisha pia unalinda haki ya mwingine.
 
Sawa. Mara nyingi sana nawataja na kuwakumbuka Akwilini, Ben, Azory, Mwangosi na Lissu aliyenusurika kifo baada ya kumiminiwa risasi na wasiojulikana wanaofugwa na anaejulikana
Unapodai haki yako hakikisha pia unalinda haki ya mwingine.

1. Kwani watanzania wangapi waliokuwa Israel lakini yakawakuta wawili hao tu?

2. Kwani watanzania wangapi walikuwapo Tanzania lakini yakawakuta Ben, Azory, Lijenje, Mawazo nk, Lissu au wowote waliookotwa kwenye viroba na si wewe, mimi au mtanzania mwingine yeyote ambaye hayakumkutq au aliyehai leo?

3. Au kwa nini haikukuta wewe, mimi, au awaye yote aliye hai leo kama yaliyowakuta wale kwenye ajali za majini, ardhini, anga au kwenye mafuriko yakiwamo yanayoendelea sasa?

4. Majibu yako ya wazi kwenye maswali matatu hayo, (swali moja moja) kama yalivyo yangeonyesha udhati au ufyongo wa machozi yako.

5. Ningali ninadhani unaonekana kulia machozi ya mamba zaidi kuwahusu watanzania wale, wakiwamo wote wauliwao kwenye ufwedhuli yakiwamobya kina Lissu; kuliko hata sisi tuwaliliao wote hao wakiwamo watoto na wanawake kule Gaza; na kokote kule duniani ambako matokeo ya fwedhuli hizi duniani zinaendelea!

6. Majibu yako tafadhali, kama ikikupendeza, mister!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…