Mazuri ya Magufuli ya kuendelezwa...

Tunaenzi mazuri..jamaa alikua na udhubutu sana na hakutaka kuyumbishwa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Halafu akashindwa kupandisha madaraja, Kuongeza mishahara, Kikokotoo kipya kubana mafao. kanunua ndege lakini hakuna mpango kazi, matokeo yake ni hasara ripoti zikitoka . Kakopa peke yake zaidi ya tril 20 na miaka 6 hakuna mradi alioanzisha uliokamilika. Sasa nimsifie kwa lipi Mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…