jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Tunaenzi mazuri..jamaa alikua na udhubutu sana na hakutaka kuyumbishwa.
#MaendeleoHayanaChama
#MaendeleoHayanaChama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu akashindwa kupandisha madaraja, Kuongeza mishahara, Kikokotoo kipya kubana mafao. kanunua ndege lakini hakuna mpango kazi, matokeo yake ni hasara ripoti zikitoka . Kakopa peke yake zaidi ya tril 20 na miaka 6 hakuna mradi alioanzisha uliokamilika. Sasa nimsifie kwa lipi Mkuu?Mkuu uwe na shukrani japo kidogo punguza hiyo tabia ya kuona mabaya tu. Mishahara hewa na pesa kwenda hazina unasema hakuna alichofanya?.
Terminal iliyokuwa ichelewe kumalizika, na yeye akaivalia njuga mpaka ikafunguliwa, unasema hakuna alichokifanya?.
Ndege nane zilizotua pale kipawa unasema hakuna kitu?. Duh mtanzania halisi katika ubora wake.