iphoneProMAX
Senior Member
- Aug 30, 2021
- 104
- 94
Hata wew ukifa tutakumbuka porojo zako na kuumizwa na mema ya magufuliWewe umelipwa kiasi gani kuja kupost?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wew ukifa tutakumbuka porojo zako na kuumizwa na mema ya magufuliWewe umelipwa kiasi gani kuja kupost?
Laana kwa nchi ni yule lafa anayeshikishwa ukuta kule mamtoniThe rise and fall of Gbadolite in Tanzania....
Ile kitu ilikua ni laana kwa nchi hii
Magufuli hakuwa Jema lolote .Siku kama ya jana yaani machi 10 BBC ilipost kuhusu ugonjwa wa Magufuli.
(Hii ni historia)
La msingi ni moja tu ...tuenzi mema ya Magufuli
Alimuua kaka yangu Ben SaananeSiku kama ya jana yaani machi 10 BBC ilipost kuhusu ugonjwa wa Magufuli.
(Hii ni historia)
La msingi ni moja tu ...tuenzi mema ya Magufuli
Magufuli alikuwa shetani anaishi duniani !!Mungu ahsante sasa tunapumuaLaana kwa nchi ni yule lafa anayeshikishwa ukuta kule mamtoni
Kushikishwa ukuta ndiyo ushetani wenyewe kama hujuiMagufuli alikuwa shetani anaishi duniani !!Mungu ahsante sasa tunapumua
Mazuri?Kama yepi?Siku kama ya jana yaani machi 10 BBC ilipost kuhusu ugonjwa wa Magufuli.
(Hii ni historia)
La msingi ni moja tu ...tuenzi mema ya Magufuli
Huwa una kaufala fulani hivi Ila haujui tu.Kushikishwa ukuta ndiyo ushetani wenyewe kama hujui
Fala ni yule anayeshikishwa ukuta bwashee.Huwa una kaufala fulani hivi Ila haujui tu.
Mazuri yapi hayo?Watu wengi hufikiri waliokuwa wanampinga Magufuli .. walikuwa wanampinga kila kitu au hawaoni mazuri yake ...
Ukweli ni kuwa mazuri ya Magufuli yanafahamika na yanajulikana ambayo tungependa yaendelezwe. ...
UmerogwaNa miundombinu pia ana A ya 100. Na usimamizi wa kauli na maagizo yake ana A kali.
Hatoeleweka mileleNtarudi, kuchangia mkuu japo sidhani kama wengi wanaweza kukuelewa kirahisi.
Laiti kama Yale ambayo sio mazuri yasingekuwepo kama watu kupigwa risasi.Watu wengi hufikiri waliokuwa wanampinga Magufuli .. walikuwa wanampinga kila kitu au hawaoni mazuri yake ...
Ukweli ni kuwa mazuri ya Magufuli yanafahamika na yanajulikana ambayo tungependa yaendelezwe...
Kwanza Yaorodheshwe MAZURI na MABAYA YAKE Wananchi TUYAJUEWatu wengi hufikiri waliokuwa wanampinga Magufuli .. walikuwa wanampinga kila kitu au hawaoni mazuri yake ...
Ukweli ni kuwa mazuri ya Magufuli yanafahamika na yanajulikana ambayo tungependa yaendelezwe....
Watakudanganya.Hivi alifariki tarehe ngapi
Inaemekana ni tarehe 17 March 2021 ila sijui kama ni kweli.Hivi alifariki tarehe ngapi
Mkuu uwe na shukrani japo kidogo punguza hiyo tabia ya kuona mabaya tu. Mishahara hewa na pesa kwenda hazina unasema hakuna alichofanya?.Hizo flyover na interchange ni Grant kutoka kwa serikali ya Japan. Hatutoi hata senti. Ziko 6 jumla na mkataba walishaini na serikali tangu JK hajaondoka.
Viwanda hivyo propaganda
Hakuna kitu, huyo aliyesema A hawezi kukuonesha miundombinu ya maana