kibla matata
JF-Expert Member
- Mar 3, 2020
- 412
- 380
Binti kiziwi unaonaje mkuuAchana na Mb doggy wewee!
Mkuu umesikiliza ngoma kama vile imani sinaAcha kumfananisha mb doggy na vitu vya ajabu japo binti kiziwi bado naikubali
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkali wa awena hafiki level za kina z.anto ni kumkosea heshima zKUNA VITU VYA KULINGANISHA MKUU KIDOGO UNGESEMA MB DOGGY NA KASSIMU
MB DOGGY KWENYE UBORA WAKE KIBA ANAKALISHWA CHINI
Hawakupishana sana walitoka kwenye season mojausimfananishe Mb dogg na vijana aisee...kwanza Ana ngoma nyingi hits kuliko zAnto na pili sidhani kama z anto alitoa ngoma in 2003 ama 2004....!
Mb dogg had his era bro na aliitumia vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupo upande mmoja tusimamie ukucha
Nani alitisha zaidiKila mtu alitoa hits songs zenye wapenzi wake.
Kila mtu alitisha kwenye angle yake mkuu...kila mtu alikuwa na era yake.Nani alitisha zaidi
Mkali naniAisee