MB Dogg vs Z. Anto

MB Dogg vs Z. Anto

ndio mkuu ni mimi, vipi unazingatia dozi lakini ? maana niliungua kitambo nikamuambukiza na Latifa ndio maana siku ananiacha nilimsihi sana tubaki tumalize siku zetu hapa duniani pamoja ila akakataa na mimi sikuweza kumwambia nimeungua so hii kauli alidhani ni ya mahaba
Mkuu hujanikomoa, dingi ndo aliuleta Tz miaka ya 70's akitokea US kikazi, bahati mbaya akakutana na mrembo mmoja hapa bongo wakazaa hii kijana iliyokupora Latifa wako, na hii kijana ilizaliwa positive, dozi kwake Ni Kama barakoa kwa waitaliano
 
ndio mkuu ni mimi, vipi unazingatia dozi lakini ? maana niliungua kitambo nikamuambukiza na Latifa ndio maana siku ananiacha nilimsihi sana tubaki tumalize siku zetu hapa duniani pamoja ila akakataa na mimi sikuweza kumwambia nimeungua so hii kauli alidhani ni ya mahaba
Halafu Kama umegundua hizi dozi za sahivi Zina kauchachu fulani hivi Kama ukwaju, Ni tofauti Sana na zile za miaka ya mwanzon mwa 90, zilikuwa chungu sana
 
Mkuu hujanikomoa, dingi ndo aliuleta Tz miaka ya 70's akitokea US kikazi, bahati mbaya akakutana na mrembo mmoja hapa bongo wakazaa hii kijana iliyokupora Latifa wako, na hii kijana ilizaliwa positive, dozi kwake Ni Kama barakoa kwa waitaliano
🤣🤣haya bana, doggy aliimba yale maneno kwenye nyimbo ya Latifa kama vile aliyatoa kwangu
 
🤣🤣haya bana, doggy aliimba yale maneno kwenye nyimbo ya Latifa kama vile aliyatoa kwangu
Jamaa anajua Sana Yule, naona kaamua kupotelea huko Ughaibuni Moja kwa moja.

Ninazo nyimbo zake Kama zote, huwa napenda Sana nyimbo hizo, zinanikumbusha enzi za ujana wangu, eti namimi nikawa naandika mashairi kwenye vidaftari nikiwa na hopes kuwa siku moja nitatoboa, dah, kazi niliyokuja kufanya na mzikii Ni tofauti kabisaa
 
Jamaa anajua Sana Yule, naona kaamua kupotelea huko Ughaibuni Moja kwa moja.

Ninazo nyimbo zake Kama zote, huwa napenda Sana nyimbo hizo, zinanikumbusha enzi za ujana wangu, eti namimi nikawa naandika mashairi kwenye vidaftari nikiwa na hopes kuwa siku moja nitatoboa, dah, kazi niliyokuja kufanya na mzikii Ni tofauti kabisaa
hahaha😂 wewe ni member kama wa 3 naona umesema hivi kuhusu kujihusisha na muziki enzi za ujana,
 
Leo tuwapambanishe manguli wawili wa Bongo Flavour, hawa ni wasanii ambao walibadilisha muziki wa bongo kuwa R&B halisi miaka ya 2003 & 2004 vilitoka vibao viwili vilivyosumbua sana cha kwanza Z. Anto ni Binti Kiziwi, cha pili ni Latifa kutoka kwa MB Dog

Z. Anto
--binti kiziwi
--mpenzi jini
-kisiwa cha malavi Davi
MB Dog
_latifa
_mapenzi kitu gani
_si uliniambia

Unadhani nani alitisha zaidi
Hakuna haja ya kupambanisha kaka huyo mzee wa BINT kiziwi hamfikii bwana MBWANA hata kidogo,MB anajua kuimba asee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Z mtoto mdogo sana, miaka ya 2008+ Doggy mkongwe, ngoma kwa P funk. Mb Doggy ni mkali
 
Back
Top Bottom