Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
atajiua mkuu🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
atajiua mkuu🤣🤣🤣
Mkuu hujanikomoa, dingi ndo aliuleta Tz miaka ya 70's akitokea US kikazi, bahati mbaya akakutana na mrembo mmoja hapa bongo wakazaa hii kijana iliyokupora Latifa wako, na hii kijana ilizaliwa positive, dozi kwake Ni Kama barakoa kwa waitalianondio mkuu ni mimi, vipi unazingatia dozi lakini ? maana niliungua kitambo nikamuambukiza na Latifa ndio maana siku ananiacha nilimsihi sana tubaki tumalize siku zetu hapa duniani pamoja ila akakataa na mimi sikuweza kumwambia nimeungua so hii kauli alidhani ni ya mahaba
Halafu Kama umegundua hizi dozi za sahivi Zina kauchachu fulani hivi Kama ukwaju, Ni tofauti Sana na zile za miaka ya mwanzon mwa 90, zilikuwa chungu sanandio mkuu ni mimi, vipi unazingatia dozi lakini ? maana niliungua kitambo nikamuambukiza na Latifa ndio maana siku ananiacha nilimsihi sana tubaki tumalize siku zetu hapa duniani pamoja ila akakataa na mimi sikuweza kumwambia nimeungua so hii kauli alidhani ni ya mahaba
hahaha🤣🤣 aisee mkuu 🙌🏽🙌🏽🙌🏽Halafu Kama umegundua hizi dozi za sahivi Zina kauchachu fulani hivi Kama ukwaju, Ni tofauti Sana na zile za miaka ya mwanzon mwa 90, zilikuwa chungu sana
🤣🤣haya bana, doggy aliimba yale maneno kwenye nyimbo ya Latifa kama vile aliyatoa kwanguMkuu hujanikomoa, dingi ndo aliuleta Tz miaka ya 70's akitokea US kikazi, bahati mbaya akakutana na mrembo mmoja hapa bongo wakazaa hii kijana iliyokupora Latifa wako, na hii kijana ilizaliwa positive, dozi kwake Ni Kama barakoa kwa waitaliano
Jamaa anajua Sana Yule, naona kaamua kupotelea huko Ughaibuni Moja kwa moja.🤣🤣haya bana, doggy aliimba yale maneno kwenye nyimbo ya Latifa kama vile aliyatoa kwangu
hahaha😂 wewe ni member kama wa 3 naona umesema hivi kuhusu kujihusisha na muziki enzi za ujana,Jamaa anajua Sana Yule, naona kaamua kupotelea huko Ughaibuni Moja kwa moja.
Ninazo nyimbo zake Kama zote, huwa napenda Sana nyimbo hizo, zinanikumbusha enzi za ujana wangu, eti namimi nikawa naandika mashairi kwenye vidaftari nikiwa na hopes kuwa siku moja nitatoboa, dah, kazi niliyokuja kufanya na mzikii Ni tofauti kabisaa
Baadhi ya Ngoma za MB DoggyAchana na Mb doggy wewee!
Hakuna haja ya kupambanisha kaka huyo mzee wa BINT kiziwi hamfikii bwana MBWANA hata kidogo,MB anajua kuimba aseeLeo tuwapambanishe manguli wawili wa Bongo Flavour, hawa ni wasanii ambao walibadilisha muziki wa bongo kuwa R&B halisi miaka ya 2003 & 2004 vilitoka vibao viwili vilivyosumbua sana cha kwanza Z. Anto ni Binti Kiziwi, cha pili ni Latifa kutoka kwa MB Dog
Z. Anto
--binti kiziwi
--mpenzi jini
-kisiwa cha malavi Davi
MB Dog
_latifa
_mapenzi kitu gani
_si uliniambia
Unadhani nani alitisha zaidi
Ww hesabu kura acha kutushawishi hahahaaaBinti kiziwi unaonaje mkuu
Daimond tu ndo alimfunika na wimbo wake wa jisaachi jiisach hahahahahaaaaaaa KIBA STAR bila kutajwa hata kwa Uzi zisizomuhusu bas C/F haijawa.KUNA VITU VYA KULINGANISHA MKUU KIDOGO UNGESEMA MB DOGGY NA KASSIMU
MB DOGGY KWENYE UBORA WAKE KIBA ANAKALISHWA CHINI
Kaka umekuja na matokeo yako mfukoni nn?Mkuu umesikiliza ngoma kama vile imani sina
Mara mia ungemlinganisha z na kassim kwa mb dog kaachwa mbali sana z anto km zaidi ya 2000Mkali wa awena hafiki level za kina z.anto ni kumkosea heshima z
Daaaah kabisa mzee lile jiwe na yule jamaa ana sauti mkuu...kitu pekee ambacho Z anto kamzidi Mb dog ni MUONEKANO TUUUUU bas.Mb Dogg aisee. Hiyo Latifa tu sijui unaifananisha na nini huko upande wa pili?
Ule wimbo wa Mb Dog wa NATAMANI mpaka leo nikiusikia, huwa naufurahia sana.Daaaah kabisa mzee lile jiwe na yule jamaa ana sauti mkuu...kitu pekee ambacho Z anto kamzidi Mb dog ni MUONEKANO TUUUUU bas.
Sent using Jamii Forums mobile app