Mdomo bakuli
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 3,442
- 7,007
Yaani kama kuna "vipanga proffesional" basi ni hawa jamaa!! Wezi wa kimataifa.
Jamani ni mimi tu au wote? MB za Vodacom zinawahi kuisha kuliko matumizi.
Vodacom kunani?