MB za Vodacom kuwahi kuisha

MB za Vodacom kuwahi kuisha

Leo nimejiunga na kifurushi cha unv cha 24hrs kwa Tshs.1200, lakini nimedumu nacho kwa chini ya masaa manne!! Mpaka sasa sielewi aise!
 
Mnaolaumu voda hizo mb hamzitumii kwenye kazi.. Ni kwa ajiri ya insta, fb, whatsapp na kudownload movies.. Kama zingekuwa productive na zinaingiza chochote huwezi lalamika na best option inabaki kuwa voda.

Hapa mimi nina line za mitandao yote ila hakuna unaoifikia voda, kuanzia speed, stability na coverage, kuna siku saa 6 usiku voda internet ilikata nikasema ngoja niunge halotel, lile bundle hata browser halikuweza kufungua.. Sasa ndo hizo bundle za bei nafuu mnazozitaka..

Kifupi gharama za voda ni kubwa kwa mtu wa kipato cha kuunga unga, mimi natumia kasi internet ya 50k napata 30gb mchana na 30gb usiku.. Kwa kazi zangu natoboa mwezi vizuri tu na movies/series nadownload vizuri tu.
Hujui ulisemalo,unadhani uwezo wako ndio wa majority? saa nyingine kama hujisikii kuchangia bora ukae kimyaa
 
Panahitajika kiongozi mkubwa afanye ziara Vodacom asikie malalamiko ya wamanchi.
 
Jamani kiulweli voda vifurushi viko jui sana harafu wanakula mb baraa
 
Hiki kilio cha mbs mimi kama hakinihusu ila nakisikia. Kwanza natumia vodacom kifurushi cha chuo huku mimi sijawahi hata kukanyaga chuo. Pili ofisini kwetu kina wi-fi hvyo nikifika tu kibaruani sa 2 ni wifi hafi natoka, speed ya hatari, zigo la gb 10 ni chini ya dakika moja.

Vodacom wasikir kilio cha wadau, wapunguze bei ya vifurushi.
 
Back
Top Bottom