Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fuata ushauri wa Evarm.
halafu umpake mafuta mengi mwilini ili hiyo masalia ya ngozi iliyokufa itoke. Wakati wa kumuogesha pia unaweza kumsugua na ki-baby towel taratibu sana. Ila usiwe na haraka, itatoka tu yote na kuisha.
hongera kwa baby mpya
Hi all, naomba msaada kwa anaefahamu hili, mimi ni mama wa mtoto wa miezi miwili now, mwanangu ana tatizo la ukavu kichwani kunakomsababishia mba naona kama atakuwa anawashwa sema bado ajajua cha kufanya.
Kwa sasa nampaka mafuta ya nazi ya kutengeneza nyumbani baada ya product za johnson kumkataa akapata rashes nikashauriwa na doctor kumpaka olive oil au mafuta ya nazi ya kutengeneza mwenyewe.
Sina mpango wa kumnyoa nywele mwanangu pia ndio maana ningefurahi kupata solution ya tatizo hili, na ningependa kufahamu pia kama kuna madhara yeyote kitaalamu kama sitomnyoa mtoto nywele zake za utotoni kabisa.
Nitashukuru kwa msaada.
Dawa ya kukutibu huo mba kichwani ninayo ukiweza nitafute kwa wakati wako ukinitaka mimi nikutibie bonyeza hapa.MawasilianoHabari?
Sijawahi kuwaga na nywele kichwani tangu utoto wangu uwa napenda kipara, sasa miaka miwili iliyopita niliwahi kuwa na nywele nyingi kchwan cha ajabu nmepata ugonjwa wa mba usio pona wala kueleweka.
Nikikaa wiki mbili bila kunyoa nikija kunyoa nakuta ukoko mwingi kichwani na kichwa kinawasha.
Nimekwenda hospital Mikocheni kwa Dr Kairuki nkamwelezea Dr akanipa dawa inaitwa Terbifin nkatumia mpaka imekwisha lakini bado, nini chakufanya hapa?
Msaada kwa wenye kufahamu tiba.
Asante
Nakushauri unyoe nywele zako kwa wembe(zungu) bila kujikata na ujipake maji ya betri SULPHURIC ACID,(kiasi kidogo, tumia kidole na kifuniko cha plastik kuhifadadhia) ambayo hayajatumika na usugue kidogo, subiri baada ya dk 3 na uoshe kwa sabuni ya shampoo pekee. utawashwa lakin vumilia! LINDA MACHO, PUA, MDOMO NA MASIKIO YASIGUSWE NA ACID.
Nakushauri unyoe nywele zako kwa wembe(zungu) bila kujikata na ujipake maji ya betri SULPHURIC ACID,(kiasi kidogo, tumia kidole na kifuniko cha plastik kuhifadadhia) ambayo hayajatumika na usugue kidogo, subiri baada ya dk 3 na uoshe kwa sabuni ya shampoo pekee. utawashwa lakin vumilia! LINDA MACHO, PUA, MDOMO NA MASIKIO YASIGUSWE NA ACID.