ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Watu ukiwaeleza unaona kama masihara embu jaribu kulima mbaazi uje ulete mrejesho hapa zao zuri kabisa palizi mara moja unafeli WAPI? OTESHA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu ukiwaeleza unaona kama masihara embu jaribu kulima mbaazi uje ulete mrejesho hapa zao zuri kabisa palizi mara moja unafeli WAPI? OTESHA.
Hii ni kazi nzuri ya ziara ya Samia India ,Baba yenu alivuruga Kila kituWatu ukiwaeleza unaona kama masihara embu jaribu kulima mbaazi uje ulete mrejesho hapa zao zuri kabisa palizi mara moja unafeli WAPI? OTESHA.
Mtu hataishi kwa mkate tuHii ni kazi nzuri ya ziara ya Samia India ,Baba yenu alivuruga Kila kitu
Hao matakataka ndio wamemponzaMtu hataishi kwa mkate tuView attachment 3033327
Na ndo wanarudi kwa kasi ya 5G, unajua mimi nani kijana???Hao matakataka ndio wamemponza
Nikujue wewe Ili inisaidie nini? Mkeo hakujui?Na ndo wanarudi kwa kasi ya 5G, unajua mimi nani kijana???
😀😀zilipendwa,,,kuimba kupokelezana,,,,,acha tuone cha ukucha kitaenda kwa nani baadae.........Nikujue wewe Ili inisaidie nini? Mkeo hakujui?
Akunyimae mbaazi kakupunguzia mashuzi piaMtu Anaishi kwa mbaazi pia
Kutoka 200 mpaka 2000 kwa kilo unaita mashuzi?Akunyimae mbaazi kakupunguzia mashuzi pia
"Akunyimae Kunde"Akunyimae mbaazi kakupunguzia mashuzi pia
Eeh bei imepanda ili msile ovyo ovyo mkajaa mashuzikutoka 200 mpaka 2000 kwa kilo unaita mashuzi ???
"Akunyimae Kunde"