Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Eeh bei imepanda ili msile ovyo ovyo mkajaa mashuzi
Inawezekana kweli kwani madukani huzioni , zote zinaenda India
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh bei imepanda ili msile ovyo ovyo mkajaa mashuzi
Kijana lima mbaazi kwanza utapoona faida yake hutouona huo upumbavu
View: https://youtu.be/ip5eNRuo4wM
Rais huyuhuyu kawafanya wawe masikini??Sikatai ila ni mindset za hao wakulima ndiyo mbovu. Wanatosheka mapema na kusifia rais ambaye ndiye kawafanya wawe maskini.
Sikatai ila ni mindset za hao wakulima ndiyo mbovu. Wanatosheka mapema na kusifia rais ambaye ndiye kawafanya wawe maskini.
Kumbe najibizana na mtu wa aina hii? Kwa heri maana huenda uelewa wako ni mdogo hata kuliko wa hao wakulima.Samia , Kawafanya wawe masikini vipi ?? yaani kuwapatia soko la kuuza mbaazi kwa bei ya zaidi ya shilingi 2000 badala ya 200 ??
Tanzania tuna safari ndefu sana kama uelewa wa watu wenye uwezo wa kutumia Internet ni kama wako!Rais huyuhuyu kawafanya wawe masikini??
Kwahio kisa sishei vision yako tayari imeshakua shida😀😀😀au ndo nyie mnaotoaga mapovu huku mkitaka watu waandamane kwa ajili yenu ma keyboard warriorsTanzania tuna safari ndefu sana kama uelewa wa watu wenye uwezo wa kutumia Internet ni kama wako!
Wewe ni product halisi ya elimu ya Bongo. Hata kuandika kiswahili kunakushinda. Ukienda RITA na the likes ni janga la taifa. Watu wame-graduate chuo kikuu lakini hawawezi kunakili details za waombaji kwenye vyeti. Mtu anajiandikia jina anavyojua yeye. ''Kwahio'' ni nini?Kwahio kisa sishei vision yako tayari imeshakua shida😀😀😀au ndo nyie mnaotoaga mapovu huku mkitaka watu waandamane kwa ajili yenu ma keyboard warriors
Naona umejipa ajira ya memkwa,,,,,na hio elimu yako ya mkoloni utaendelea tu kutokwa povu,,,ila hamna atakaewafanyia kazi zenu za kishenzi,,,,,,ingieni uwanjani wenyewe mkatoe mapovu yenu vizuri,,,,,,na uzuri kwa sasa mnapewa hadi escort ya polisi, timizeni ndoto zenu wenyeweWewe ni product halisi ya elimu ya Bongo. Hata kuandika kiswahili kunakushinda. Ukienda RITA na the likes ni janga la taifa. Watu wame-graduate chuo kikuu lakini hawawezi kunakili details za waombaji kwenye vyeti. Mtu anajiandikia jina anavyojua yeye. ''Kwahio'' ni nini?
My friend, there is no such thing as colonial education versus normal education. We all go to school to learn the fundamental skills that help us survive in this complex world. Therefore, encountering someone who has graduated from university but cannot write simple and basic words is truly dishearteningNaona umejipa ajira ya memkwa,,,,,na hio elimu yako ya mkoloni utaendelea tu kutokwa povu,,,ila hamna atakaewafanyia kazi zenu za kishenzi,,,,,,ingieni uwanjani wenyewe mkatoe mapovu yenu vizuri,,,,,,na uzuri kwa sasa mnapewa hadi escort ya polisi, timizeni ndoto zenu wenyewe
Kwahio utafanyaje??? Pambana na hali yako,,acha tuuze mbaazi tule life we endelea na u sadist wakoMy friend, there is no such thing as colonial education versus normal education. We all go to school to learn the fundamental skills that help us survive in this complex world. Therefore, encountering someone who has graduated from university but cannot write simple and basic words is truly disheartening
Do you even know the meaning of sadistic ambayo hujui hata kuiandika? Unadhani nachukia watu kuuza mbaazi? Laiti ungejua nilitamani sana wawe kwenye hatua ya juu zaidi na ndiyo kinachonifanya vocal kwenye hii serikali ya kushindwa.Kwahio utafanyaje??? Pambana na hali yako,,acha tuuze mbaazi tule life we endelea na u sadist wako
Pambana na hali yako bwasheee,,,mapovu yako hayabadili kitu.......wametumia nguvu zao wenyewe wamelima wamevuna wameuza, wanakula maisha,,,sio lazima mtu akae na vision zako za ajabu ajabuDo you even know the meaning of sadistic ambayo hujui hata kuiandika? Unadhani nachukia watu kuuza mbaazi? Laiti ungejua nilitamani sana wawe kwenye hatua ya juu zaidi na ndiyo kinachonifanya vocal kwenye hii serikali ya kushindwa.
Mimi napambana na hali yangu tangu nikiwa mdogo. Hili nilifundishwa na wazazi wangu na ndiyo mantra yangu. Poleni sana nyie mnaokuja kulijulia hili ukubwani.Pambana na hali yako bwasheee,,,mapovu yako hayabadili kitu.......wametumia nguvu zao wenyewe wamelima wamevuna wameuza, wanakula maisha,,,sio lazima mtu akae na vision zako za ajabu ajabu
Ndo na hao wanapambana na zao ila povu linamtoka mwingine........endelea na fani yako ya memkwaMimi napambana na hali yangu tangu nikiwa mdogo. Hili nilifundishwa na wazazi wangu na ndiyo mantra yangu. Poleni sana nyie mnaokuja kulijulia hili ukubwani.
Ndo na hao wanapambana na zao ila povu linamtoka mwingine........endelea na fani yako ya memkwa
Hadi 2030 hio,,,,,,,kwa idadi hii ya ma keyboard warriors hamna la kufanyaPre GE2025 - Rais Samia hakubaliki Tanzania 2025, kazi iliyopo ni kutumia mbinu mbadala
Taarifa za ndani kabisa ni kwamba mama hakubaliki lakini Nani atamfunga paka kengele kilichopo ni kwamba madaraka ni matamu! Mama hata yeye anajuwa hakubaliki anategemea vijana wake wamfanyie kazi ndiyo maana hakemei wizi na hana nguvu ya kufukuza kazi waziri yeyote kwani alishaaminishwa na mzee...www.jamiiforums.com
Upo kusini wilaya Gani ChiefBaada ya mbaazi zao lingine la biashara naloona NALIKUBALI ni UFUTA.
Umeshakariri na maneno ''keyboard warriors'' siyo! Ukiambiwa usema maana yake unaijua?Hadi 2030 hio,,,,,,,kwa idadi hii ya ma keyboard warriors hamna la kufanya
Umeshakariri na maneno ''keyboard warriors'' siyo! Ukiambiwa usema maana yake unaijua?