Mbaazi siku hizi ni biashara kubwa; ni kawaida kusikia kilo ni Tsh. 3000 na zaidi

Mbaazi siku hizi ni biashara kubwa; ni kawaida kusikia kilo ni Tsh. 3000 na zaidi

Inapenda baridi ya kawaida na ardhi nyingi inazaa pata hekari zako tatu we hapo una tani tatu Mpaka nne. Ukisizaga baada ya kukauka Kwa heka zako tatu ukikaa vizuri kilo maelfu haya kilo uza 2500 hujakosa hela.

Mbaazi hazina gharama sijui ya kupulizia dawa ukipanda umepanda..
Wateja ni kina nani ?
 
Do you even know the meaning of sadistic ambayo hujui hata kuiandika? Unadhani nachukia watu kuuza mbaazi? Laiti ungejua nilitamani sana wawe kwenye hatua ya juu zaidi na ndiyo kinachonifanya vocal kwenye hii serikali ya kushindwa.
Acha maneno yako ww tafuta ela kingereza ni makerere kama huna ela
 
Back
Top Bottom