Mbaazi siku hizi ni biashara kubwa; ni kawaida kusikia kilo ni Tsh. 3000 na zaidi

Mbaazi siku hizi ni biashara kubwa; ni kawaida kusikia kilo ni Tsh. 3000 na zaidi

Wewe ni part ya hawa ma-idots wasiojitambua kwa sababu ya athari za kielimu.
Wacha we na ka kiingereza kwa mbaaali,, kweli umewin maisha kuliko wale wauza mbaazi,,,ila shida wale wako na furaha na wanakula maisha,,wewe uliewazidi naona unakereka tu na povu jiiingi,,kama hizo elimu zenu ni za kuwajaza mapovu haya konguratuleshenzi
 
Wacha we na ka kiingereza kwa mbaaali,, kweli umewin maisha kuliko wale wauza mbaazi,,,ila shida wale wako na furaha na wanakula maisha,,wewe uliewazidi naona unakereka tu na povu jiiingi,,kama hizo elimu zenu ni za kuwajaza mapovu haya konguratuleshenzi
Criticizing does not show that you are angry or suffering. This is something many Tanzanian citizens have been led to believe. Do you know the meaning of empathy? If you lack empathy, it is very difficult to understand why others care and criticize when they see others being hurt
 
Criticizing does not show that you are angry or suffering. This is something many Tanzanian citizens have been led to believe. Do you know the meaning of empathy? If you lack empathy, it is very difficult to understand why others care and criticize when they see others being hurt
Algorithm yako inakukana.......povu jema
 
Kwa hapa Dar mbaazi zinakubali ukilima.. Na kama ukilima eka moja inaweza kukupa kilo ngapi..??
 
Samia , Kawafanya wawe masikini vipi ?? yaani kuwapatia soko la kuuza mbaazi kwa bei ya zaidi ya shilingi 2000 badala ya 200 ??
Na samia huyohuyo kavunja rekodi mwaka jana katulipa shilling 900 kwa kilo kwenye korosho
 
Kigoma watakuwa matajiri sasa. Maana hizo mbegu zinaota mno. Au soko ni mtwara tu kwa nduGu zake MAMA ?
 
Kigoma watakuwa matajiri sasa. Maana hizo mbegu zinaota mno. Au soko ni mtwara tu kwa nduGu zake MAMA ?

Hizo mbaazi hata hapa nchini zimeanza kuwa adimu , watu wanazipeleka India .
 
Kigoma watakuwa matajiri sasa. Maana hizo mbegu zinaota mno. Au soko ni mtwara tu kwa nduGu zake MAMA ?
Acha chuki dogo mbaazi zimeanza kuwa dili tangu utawala wa kikwete...kwanini mnaichukia sana kusini hivi iliwakosea nini?
 
Acha chuki dogo mbaazi zimeanza kuwa dili tangu utawala wa kikwete...kwanini mnaichukia sana kusini hivi iliwakosea nini?
Lini wewe ukawa kubwa kuliko mimi ?
Mbaazi choroko dengu ni vilimo vya ili mradi siku ipite.
 
Hii ni kazi nzuri ya ziara ya Samia India ,Baba yenu alivuruga Kila kitu
2010-2014 bei ya mbaazi ilikua inarange kati ya 900-1400 kwa kilo 1, mwaka 2015 kilo Moja tuliuza kwa 2500-3000 tulifaidi wahindi & wakenya walinunua san, baada ya hapo CCM mkatuletea kichaa akawa rais 2016-2020 kwa kilo Bei ikawa 200-500
 
Wewe ni mbuuzi mara DUFU. Mtu mzima huwa halazimishi matakwa yake kwa mtu mzima mwenzake bali kwa mtoto. Ndio maana watoto tunawalazimisha hadi kwenda msikitini, shule nk.
Ukitaka tuende kihuni tutaenda tu.
Ujinga, ubabe peleka kwa familia yako humu kila mtu ni mtu mzima na ana imani yake.
Kale mbaazi ulale hoja zimekushinda. Watu wa kusini mpo very inferior hata kwa mambo madogo mnahamaki.
 
Back
Top Bottom