Mbaazi siku hizi ni biashara kubwa; ni kawaida kusikia kilo ni Tsh. 3000 na zaidi

Wateja ni kina nani ?
 
Do you even know the meaning of sadistic ambayo hujui hata kuiandika? Unadhani nachukia watu kuuza mbaazi? Laiti ungejua nilitamani sana wawe kwenye hatua ya juu zaidi na ndiyo kinachonifanya vocal kwenye hii serikali ya kushindwa.
Acha maneno yako ww tafuta ela kingereza ni makerere kama huna ela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…