M,babe wa kivita .....putinKatika hali ya kuihakikishia Dunia kuwa mambo ni shwari nyumbani Moscow,rais mbabe na mmiliki wa mkanda mweusi wa judo Vladimir Putin anatarajiwa kuitembele nchi ya Iran tarehe july 19
Kwa sasa Kremlin ishaweka wazi kuwa haijisumbui wala kujikomba Ulaya kwa akina Macron bali watakwenda na wanaowaelewa
Kwamba mwamba Putin achome mafuta mpaka Kabul kuonana na wataleban halafu akitoka huko aende tena Mogadishu kwa akina alshababuPutin maji yamezid unga, usione ajabu alitoka huko akaenda Afghanistan ili mladi apate uungwaji mkono.
Kuna midege yao kama mitano ivi ile mikubwa sjui ilibeba nn taari yamefika Tehran week iliopita kwa maandaliziMossad wanaofanya shughuli zao Iran wote watajipa likizo kinyume na hvyo watakula za kichwa bila huruma maana Kwa muda wazaidi ya wiki Russians watakuwa wapo tehran counter intelligence ni ya Russians tupu
Lile ni jasusi bobevu wakati midege yake inakwenda Iran unaweza kuta yy akapita kwa njia za teksi kuelekea huko huko IranShauri yake lakini, yaani anavyowakera west halafu anajidai anazurura naye.
Iran jamaa wawe wa kabila 12 wamejipenyeza sana mle na wana mawakala wao ndani ya Iran, hivyo wakitaka kufanya yao ni sekunde tu Putin anasahaulika au hata kumpandikizia gonjwa litakalommaliza taratibu ili isionekane kaondoka tu kwa ugonjwa.Lile ni jasusi bobevu wakati midege yake inakwenda Iran unaweza kuta yy akapita kwa njia za teksi kuelekea huko huko Iran
Putin hali tete anaenda bembeleza msaada wa dronesPutin maji yamezid unga, usione ajabu alitoka huko akaenda Afghanistan ili mladi apate uungwaji mkono.
Fikiri kabla hujapost,Iran jamaa wawe wa kabila 12 wamejipenyeza sana mle na wana mawakala wao ndani ya Iran, hivyo wakitaka kufanya yao ni sekunde tu Putin anasahaulika au hata kumpandikizia gonjwa litakalommaliza taratibu ili isionekane kaondoka tu kwa ugonjwa.
Anyway lakini huenda wayahudi hawanashida naye, japo babu wa USA juzi kafanya ziara huko hatujui yaliyopo sirini.
Unadhani majasusi ya Kremlin hayajui hayo yote!!??Iran jamaa wawe wa kabila 12 wamejipenyeza sana mle na wana mawakala wao ndani ya Iran, hivyo wakitaka kufanya yao ni sekunde tu Putin anasahaulika au hata kumpandikizia gonjwa litakalommaliza taratibu ili isionekane kaondoka tu kwa ugonjwa.
Anyway lakini huenda wayahudi hawanashida naye, japo babu wa USA juzi kafanya ziara huko hatujui yaliyopo sirini.
Nimepost kwaajili ya wanaojua kufikiri. Haikuhusu weweFikiri kabla hujapost,
Mossad wanaofanya shughuli zao Iran wote watajipa likizo kinyume na hvyo watakula za kichwa bila huruma maana Kwa muda wazaidi ya wiki Russians watakuwa wapo tehran counter intelligence ni ya Russians tupu