Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Kwa maana ya?Kuchamba kwingi huondoka na mafi na ngoma ikivuma sana hupasuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa maana ya?Kuchamba kwingi huondoka na mafi na ngoma ikivuma sana hupasuka
Watoto wa yakobo siku hivi hawavumi sana!Iran jamaa wawe wa kabila 12 wamejipenyeza sana mle na wana mawakala wao ndani ya Iran, hivyo wakitaka kufanya yao ni sekunde tu Putin anasahaulika au hata kumpandikizia gonjwa litakalommaliza taratibu ili isionekane kaondoka tu kwa ugonjwa.
Anyway lakini huenda wayahudi hawanashida naye, japo babu wa USA juzi kafanya ziara huko hatujui yaliyopo sirini.
Yap!!!M,babe wa kivita .....putin
Putin sio Kagame!Iran jamaa wawe wa kabila 12 wamejipenyeza sana mle na wana mawakala wao ndani ya Iran, hivyo wakitaka kufanya yao ni sekunde tu Putin anasahaulika au hata kumpandikizia gonjwa litakalommaliza taratibu ili isionekane kaondoka tu kwa ugonjwa.
Anyway lakini huenda wayahudi hawanashida naye, japo babu wa USA juzi kafanya ziara huko hatujui yaliyopo sirini.
Kuchamba kwingi huondoka na mafi na ngoma ikivuma sana hupasuka
Watasema kwa kimombo Putin has sent his body double to Tehran to discuss drone dealsWale wa propaganda za amefariki inamaana na huko inayoenda ni sanamu kama mlivyosema hapo awali
Putin hali tete anaenda bembeleza msaada wa drones
Kwani Kenya wana nini cha kumpa US,matako ?Hivi huna habari kwamba iran anaforce sana ukaribu na Russia??. Iran wana nini cha kumpa Russia??.
Atakua anakimbia huyo bila shaka ,Katika hali ya kuihakikishia Dunia kuwa mambo ni shwari nyumbani Moscow,rais mbabe na mmiliki wa mkanda mweusi wa judo Vladimir Putin anatarajiwa kuitembele nchi ya Iran tarehe july 19
Kwa sasa Kremlin ishaweka wazi kuwa haijisumbui wala kujikomba Ulaya kwa akina Macron bali watakwenda na wanaowaelewa
Jitahidi kuiruhusu akili yako iwe huru kufikiria na sio kufikirishwa. Mnapenda sana kukuzishwa mambo.Iran jamaa wawe wa kabila 12 wamejipenyeza sana mle na wana mawakala wao ndani ya Iran, hivyo wakitaka kufanya yao ni sekunde tu Putin anasahaulika au hata kumpandikizia gonjwa litakalommaliza taratibu ili isionekane kaondoka tu kwa ugonjwa.
Anyway lakini huenda wayahudi hawanashida naye, japo babu wa USA juzi kafanya ziara huko hatujui yaliyopo sirini.
Hivi unafahamu historia ya Putin kwenye ujasusi? hivi inaifaham iliyokuwaShirika la kijasusi la Soviet yaani Komittet Gatzudastvenoy Bezopasnost (KGB)? Putin ni Senior kama siyo Sufurior wa ujasusi hili hata NSA, CIA, FBI, M16, M15, GRU, Red Hand wa ufaransa wanamfaham, Putin amefanya ujasusi ktk nyanja mbalimbali na nchi mbalimbali duniani eg USA, UK, Germany (hapa kaishi kama nyumbani) hadi Australia, Austria-Hungary n.k huyu binadam anaeitwa Putin anawajua western kuliko wao wanavyojijua.Iran jamaa wawe wa kabila 12 wamejipenyeza sana mle na wana mawakala wao ndani ya Iran, hivyo wakitaka kufanya yao ni sekunde tu Putin anasahaulika au hata kumpandikizia gonjwa litakalommaliza taratibu ili isionekane kaondoka tu kwa ugonjwa.
Anyway lakini huenda wayahudi hawanashida naye, japo babu wa USA juzi kafanya ziara huko hatujui yaliyopo sirini.
Mbona urusi wa Israel ndo kibao Sasa kiasili au ukisikia abromovich kibopa yule wa Chelsea zamani unadhani mngoni? [emoji23]Mossad wanaofanya shughuli zao Iran wote watajipa likizo kinyume na hvyo watakula za kichwa bila huruma maana Kwa muda wazaidi ya wiki Russians watakuwa wapo tehran counter intelligence ni ya Russians tupu
Ni jambo jemaKatika hali ya kuihakikishia Dunia kuwa mambo ni shwari nyumbani Moscow,rais mbabe na mmiliki wa mkanda mweusi wa judo Vladimir Putin anatarajiwa kuitembele nchi ya Iran tarehe july 19
Kwa sasa Kremlin ishaweka wazi kuwa haijisumbui wala kujikomba Ulaya kwa akina Macron bali watakwenda na wanaowaelewa
Kwahyo ww ndio unajua abramovich myahudi Hila intelligence ya USA haijui mpaka imezuia Mali zake kwamba ni RussianMbona urusi wa Israel ndo kibao Sasa kiasili au ukisikia abromovich kibopa yule wa Chelsea zamani unadhani mngoni? [emoji23]
Unamaanisha Nini unaposema senior?Hivi unafahamu historia ya Putin kwenye ujasusi? hivi inaifaham iliyokuwaShirika la kijasusi la Soviet yaani Komittet Gatzudastvenoy Bezopasnost (KGB)? Putin ni Senior kama siyo Sufurior wa ujasusi hili hata NSA, CIA, FBI, M16, M15, GRU, Red Hand wa ufaransa wanamfaham, Putin amefanya ujasusi ktk nyanja mbalimbali na nchi mbalimbali duniani eg USA, UK, Germany (hapa kaishi kama nyumbani) hadi Australia, Austria-Hungary n.k huyu binadam anaeitwa Putin anawajua western kuliko wao wanavyojijua.
Kumbuka middle east mifumo mingi ya usalama asili yake ni USSR na ndicho kipindi ambacho Putin amefanya kazi sana ktk ujana wake wote. Hivyo akienda middle east anakwenda Kwa wanafunzi wake.
Amsaidie mara ngapi???Hivi nini kitatokea kama Russia atamsaidia Iran [emoji1130] kuunda nyuklia?