Mbagala Dar - Mwanafunzi wa Miaka 7 auawa, mwili wake wakutwa msitu wa Jeshi

Mbagala Dar - Mwanafunzi wa Miaka 7 auawa, mwili wake wakutwa msitu wa Jeshi

Homicide? Je, Wazazi wake wote wawili (baba na mama ) wanaishi pamoja?

Wana maelewano ndani ya ndoa?

Uchunguzi wa kina kabisa unapaswa kufanyika ili kubaini ukweli, na kwa bahati mbaya zaidi Jeshi letu la Polisi halina vifaa vya kutosha vya kisayansi vya kufanyia Uchunguzi.

Ingekuwa katika nchi za wenzetu pengine ingekuwa tayari wameshawabaini watu waliobeba maiti ya mtoto huyu na kwenda kuitupa katika msitu wa Jeshi, hiyo ingekuwa kazi ya muda usiozidi masaa sita hadi kupata majibu ya uchunguzi.
Jambo la maana sana na la mwanzo sana hili,

nadhani wanapaswa kua miongoni mwa watuhumiwa wa mwanzo kwenye unyama huu hususani ikiwa wako na mgogoro miongoni mwao 🐒
 
Mtu unatoa wapi ujasiri wa kutoa uhai wa mwengine?

Ushauri: katika maisha yako jitahidi sana usimuamini yoyote. Tembea na kuishi kwa machale always walk looking over your shoulders. Jitahidi kutenda mema na kutii na kufuata sheria za nchi. MTANGULIZE MUNGU KWA KILA JAMBO MAISHANI MWAKO.

Nawachukia nakuwaogopa hawa watu watatu. WAONEVU, WASALITI na WADHULUMATI.
Tatizo muda mwingine, wema hutengeneza uhadui.
Mfano: una gari yako unatembea unamkuta mtu anatembea kwa mguu, jasho linamtililika kwa joto kali la dar, kumbe yeye anawazi umempa nafasi ya kukuzuru na kuondoka na gari yako.
 
Tatizo muda mwingine, wema hutengeneza uhadui.
Mfano: una gari yako unatembea unamkuta mtu anatembea kwa mguu, jasho linamtililika kwa joto kali la dar, kumbe yeye anawazi umempa nafasi ya kukuzuru na kuondoka na gari yako.
Tatizo kubwa zaidi linalloikabili dunia kwa sasa ni watu kukosa Uaminifu. Never trust anyone except yourself.
 
Tatizo muda mwingine, wema hutengeneza uhadui.
Mfano: una gari yako unatembea unamkuta mtu anatembea kwa mguu, jasho linamtililika kwa joto kali la dar, kumbe yeye anawazi umempa nafasi ya kukuzuru na kuondoka na gari yako.
Mkuu ulipoteaga wapi hapa kati? Ni mda hukuonekana jamvin mda mrefu.
 
Kwa hapa Sitii neno..
Lakini wangeanza kuhoji hapo Kambini maana Sidhani kama Raia anaruhusiwa kuingia humo!

Wangechunguza pia Kupitoa Postmortan uwepo wa Risasi au makovu au Sharp injury pamoja na blunt injury kwenye mwili wa huyo mtoto..

NI hayo tu
Hv mfano unakuta mwili umeokotwa huko maporini na yawezekana uso umeharibika POLICE wanaanziaga wapi? Unakuta taarifa zake zitapatikana mda mwngn hadi waliohusika wanapatikana
 
Back
Top Bottom