Mbagala Dar - Mwanafunzi wa Miaka 7 auawa, mwili wake wakutwa msitu wa Jeshi

Mbagala Dar - Mwanafunzi wa Miaka 7 auawa, mwili wake wakutwa msitu wa Jeshi

Hv mfano unakuta mwili umeokotwa huko maporini na yawezekana uso umeharibika POLICE wanaanziaga wapi? Unakuta taarifa zake zitapatikana mda mwngn hadi waliohusika wanapatikana
Kwahilo sio jambo Kubwa sana..
Kiintelijensia unaweza kujua mpaka Mtu aliyefika eneo hilo kwa siku hiyo wote na unafanya sorting ili kupata exactly wale waliokaribu na Tukio...
Ukiwabana hao utapata Cream waliofanya tukio
 
Back
Top Bottom