Mbagala, Dar: Polisi yawanyakua watu 27 Walioiba Saruji kwenye ajali

[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hapo kwenye idadi ni UONGO.
hakuna gari ya cement inayobeba mifuko 700.
tani 30 ni mifuko 600.kama gari ilibeba mifuko 700.
Kiwanda kilifanya makosa.
 
Cpati picha lori hilo lingepata ajari maeneo ya arusha/kilimanjaro 😁
 
Ajali zimekuwa nying Sana barabaran kumekuwa kwamoto Yan kila siku Ajali kulikon kamanda wa usalama barabaran au traffic wamepungua au traffic siku hiz kaz yao n kupiga touch na kukusanya mapato na s elimu ya barabaran
 
Safi,
Watu 27 kwa mifuko 700,
Ni sawa na laki 4 hvi @ mmoja.
Na za polisi, Milion moja moja
 
Walikua wanajiokotea.

Ila wanaume wa Dar nao wazembe, watu 27 mnakamatwa na polisi usikute polisi 6.
Walikua wanajiokotea.

Ila wanaume wa Dar nao wazembe, watu 27 mnakamatwa na polisi usikute polisi 6.
Wabongo hatujazoea milio ya risasi bana. Ikipigwa moja hewani tu: paa!! hata aliyekuwa anaharisha chooni atatoka ndukiii!!!
 
Niliona taarifa ya habari ITV ila nilijiuliza wezi hawa wamekamtwa, wezi wale wa mafuta Morogoro tuliaminishwa ni mashujaa na pesa wakapewa, ni nini tofauti yao, kwanini na hawa wasiwe mashujaa mbele ya serikali ileile? Wezi wa Morogoro tupo tuliowaita ni wezi na wangestahili adhabu, badala yake tukaonekana wabaya!
 
Hata hivyo polisi walizembea Sana tena Sana. Yaani watu mpaka wanaiba wao walikuepo wapi
Mawazo ya kijijga sana! Kwani kazi ya polisi ni kufukuza wezi, ni kukamata wezi
 
likitokea Mbagala kuelekea mjini likiwa limebeba zaidi ya mifuko 700 ya saruji nalo lilipata ajali.

Polisi walifika mapema eneo la tukio na kuwakuta watu 27, wakiwa wanaiba saruji kwa kuipakia kwenye Pikipiki na Bajaji. wote walikamatwa na jumla ya mifuko 368
Nusu ya mzigo umeibiwa halafu unasema so and so walifika mapema!!! Kama walifika mapema si wangeokoa yote usingeibiwa hata mfuko mmoja!!!
 
Akili za hao madereva sawa na wale "...ndugu yangu aliyepotea miaka mingi amepatikana kwa juhudi za mganga Jumwa Huswen, kwakweli huyu mganga kiboko..."

Ukifuatilia vizuri utakuta hao madereva wanahusiana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…