Mbagala, Dar: Polisi yawanyakua watu 27 Walioiba Saruji kwenye ajali

Huu msemo unakuwa vice vesa kwamba tajiri kuona ufalume wa binguni Ni ngumu....hapaa naona maskini kuona ufalume wa mbinguni ndo mtihani
 
Kuna mtu namjua ni mpigaji aliibiwaga mizigo
Yake sasa ilibd aingie front aende huko kutemesha,nlimsindikiza nlicheka sana
Mpigaji kpigwaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Tuliingia kijiji kimoja watu wote watu wa deal wezi

Ova
Nami hufurahishwa sana na matukio kama hayo: jambazi kuvamiwa na kuporwa ama kuuawa akiporwa, mwizi kuvunjiwa na kuibiwa, mbabe kupigwa, mzinzi kuchukuliwa mke nk nk.

Tukija kwenye "animal planet" sasa, simba akizingirwa na kuliwa na fisi ama mamba, fisi kukamatwa na kuliwa na simba, nyoka kumeza mjusi na nyoka kumezwa na kenge, kenge kumezwa na mamba huku akilalamika!

Nikiangalia matukio ya namna hiyo hujisikia burudani nikifarijika kuona kwambakumbe dunia haina mbabe hii, bali ni timing tu.
 
Ile clip ya lile tukio niliiona.
Mimi nilidhani Ni wananchi wenye Nia njema wanaokoa Mali na kwenda kuihifadhi sehemu salama.
 
Nao wakiibiwa wanaumia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ova
 
Ile clip ya lile tukio niliiona.
Mimi nilidhani Ni wananchi wenye Nia njema wanaokoa Mali na kwenda kuihifadhi sehemu salama.
Wananchi wote wale ni wezi tu
Wanaume,wanawake,wazee,vibibi

Ova
 
Ile clip ya lile tukio niliiona.
Mimi nilidhani Ni wananchi wenye Nia njema wanaokoa Mali na kwenda kuihifadhi sehemu salama.
Wananchi wote wale ni wezi tu
Wanaume,wanawake,wazee,vibibi

Ova
 
This is all about poverty!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…