- Thread starter
- #21
No comment.Huu nao ni waziku kama wazimu wingine
Ungeuliza swali ungejibiwa, lakini Kwa kuwa umeamua kufanya conclusion Kwa kitu usichokijua, Baki gizani tafadhali🙏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No comment.Huu nao ni waziku kama wazimu wingine
Unataka maneno laini sio!!Asilimia tisini ya hawa "manabii wa kizazi kipya" hoja yao ni uchawi uchawi na uchawi tuu.
Hakuna cha Habari Niema tena.
Tuko katika nyakati za kutisha mno,Tuache na majimatitu yetu....
Endelea na story za vijiweni voo voo...
😁😁😁😁 Mi hom ndo pale mkuu yaani hayo unayoongea hamna kitu
No comment.Hee[emoji15]mental health is real. hapa
mbona kama Deo Kisandu amerudi
No comment!Nonsense
Sijaona facts hapo blah blah tu
Uonavyo wewe,kwani ulianzisha chochote ukashindwa?
Acha zako wewe..Tuko katika nyakati za kutisha mno,
Tuache masikhara🙏
Bas sawa!Acha zako wewe..
Hvi kusema kusoma kwako kote huko bado una imani potofu
kwani makaburi yanakitu gani cha ziada?me naona ni sahihi.Uonavyo wewe,
Ni sahihi kuanzisha biashara juu ya ardhi au katika frame ambayo chini ni makaburi matupu?
Basi hongera zako🙏kwani makaburi yanakitu gani cha ziada?me naona ni sahihi.