Mbali na maisha haya magumu, tozo kila pahala, mwananchi, Bado hujachoka tu kuwa na kadi ya CCM?

Mbali na maisha haya magumu, tozo kila pahala, mwananchi, Bado hujachoka tu kuwa na kadi ya CCM?

Paulsylvester

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2021
Posts
1,464
Reaction score
3,379
Mtu aliyelogwa, sio tu mpaka awe muokota makopo, maana Kwa siku za Leo, wengi tu ambao wanaokota makopo na kwenda kutengeneza pesa!

Ukisikia mtu kalogwa, si lazima aehuke ndio iwe kielelezo chake, no!!

Kuna majamaa yanaelimu zao na familia zao huko, yamelogwa na jitu linaitwa CCM! Hayana tofauti na vichaa na wendawazimu

Yamenyweshwa maji ya bendera ya kijani, yaani menyewe ikitajwa CCM, ni kana kwamba limetajwa jina la baba yao mzazi,

Unajiuliza, Kwa maisha haya magumu, tozo kila pahala, kuna watu mamilipni Kwa mamilipni, bajeti yao haiwaruhusu waipange hadi ya kesho yao,

Wakiamka na maisha yanaanzia hapo!

Hawajui huko kwenye kutafuta kwao kwa siku hiyo, ikiwa watarudi na chochote cha kulisha familia zao,


Cha ajabu, unawakuta wana kadi za CCM! Hii ni huzuni na ujinga mkomavu vichwani mwao

Mtaichukia lini hii CCM inayokula nguvu zenu na kuwafanya masikini siku zote?

Embu, tokeni kwenye ujinga huo, mjaribu na kwingine!

Tupa kadi ya CCM tangu Leo!
 
Cha muhimu lipa tozo uchagie uchumi mkuu wa taifa lako hayo malalamiko mengine hayana msaada wowote kwako.

Maisha ya dunia nzima kwa sasa ni magumu, hakuna ujanja zaidi ya kujitayarisha kisaikolojia kila unapotumia huduma zilizounganishwa na tozo.
 
Cha muhimu lipa tozo uchagie uchumi mkuu wa taifa lako hayo malalamiko mengine hayana msaada wowote kwako.

Maisha ya dunia nzima kwa sasa ni magumu, hakuna ujanja zaidi ya kujitayarisha kisaikolojia kila unapotumia huduma zilizounganishwa na tozo.
Ndiyo nyie walengwa wa Uzi huu!

Unaelimu ila haijaweza kukusaidia!

Embu elezea maaana ya Tozo na kodi! Ukiweza nitakuona wa maana

Je, umekunywa maji ya bendera ya kijani?

kama umeinywa, haitakutoka mpaka utakapoitwa na mwenye uhai
 
Hizo kadi watu wanachukua kimkakati ndugu sio kwamba wao no wajinga.

Kwan hukuona ile barua iliyovuja wakati wa kutafta watu was sensa?
 
CCM Ni chama kiongoz, CCM Ni chama kilichobeba matumaini ya watanzania katika kuwaletea maendeleo, CCM Ni chama kinacho sikiliza na kushuka Hadi chini waliko watanzania wanyonge na kuwasikiliza kero zao Kama unavyoona viongozi mbalimbali wa chama Taifa wakipita kwa wananchi, si unaona anachofanya ndugu Shaka hamidu Shaka huko Tabora, hivi ndivyo wafanyavyo viongozi wote wa CCM katika ngazi zote kuwahudumia wananchi

CCM Ni chama kisichombagua mtu yoyote Yule, ndio maana unaweza kuwa kiongozi kupitia CCM bila kujali familia uliyotokea au Elimu yako, kinachoangaliwa ndani ya CCM Ni uwezo wa mtu na sifa alizonazo, inaangaliwa Ni vipi mtu anakubalika na jamii na vipi anaweza kuwasaidia na kuwasemea wananchi, inaangaliwa maono aliyo nayo mtu na uwezo wake kiuongozi

Hiyo ndio sababu utaona na kuona kadi za CCM zikitafutwa kila siku, ndio maana utaona kila siku watu wakipishana katika ofisi za CCM ili wapatiwe kadi za uanachama wa CCm

CCM ndio chama chenye Sera nzuri zinazotekelezeka na kugusa maisha ya watanzania wanyonge na wakila Rika, CCM ndio kimbilio la watanzania wasio na sauti na nguvu, ndio masikio ya wanyonge na ndio mdomo wa wanyonge, Ndio sababu mtu akifika katika ofisi ya CCM na shida au kero anakuwa na matumaini makubwa ya kupata suluhu ya matatizo yake
 
Ndiyo nyie walengwa wa Uzi huu!

Unaelimu ila haijaweza kukusaidia!

Embu elezea maaana ya Tozo na kodi! Ukiweza nitakuona wa maana

Je, umekunywa maji ya bendera ya kijani?

kama umeinywa, haitakutoka mpaka utakapoitwa na mwenye uhai
Lipa tozo na lipa kodi, pesa za wazungu tunazotumia kama misaada huwa zinawauma kama sisi inavyotuuma kuchangia uchumi kwa sasa.

Weka hasira pembeni changia ujenzi wa madaraja na shule mbalimbali kwa kulipa kodi malalamiko, matusi, dhihaka , vyote hivyo hazikusaidii wewe wala mimi.
 
Kodi tunalipa tunachoongelea ni Tozo.
Ni sehemu ya mapato ya serikali. Miaka ya nyuma ile ya kutegemea misaada imeshapita.

Kanisa Katoliki tulianza taratibu huu mpango wa kujitegemea tunakuwa na mavuno mara moja kwa mwaka, pesa iliyotoka Italia haiji tena.

Mpango umehamia serikalini, ni lazima tujitegemee na anasa tulizozoea zipungue.
 
Ni sehemu ya mapato ya serikali. Miaka ya nyuma ile ya kutegemea misaada imeshapita.

Kanisa Katoliki tulianza taratibu huu mpango wa kujitegemea tunakuwa na mavuno mara moja kwa mwaka, pesa iliyotoka Italia haiji tena.

Mpango umehamia serikalini, ni lazima tujitegemee na anasa tulizozoea zipungue.
Mpaka sasa hujatueleza nini maana ya Tozo na Kodi
 
Mtu aliyelogwa, sio tu mpaka awe muokota makopo, maana Kwa siku za Leo, wengi tu ambao wanaokota makopo na kwenda kutengeneza pesa!

Ukisikia mtu kalogwa, si lazima aehuke ndio iwe kielelezo chake, no!!

Kuna majamaa yanaelimu zao na familia zao huko, yamelogwa na jitu linaitwa CCM! Hayana tofauti na vichaa na wendawazimu

Yamenyweshwa maji ya bendera ya kijani, yaani menyewe ikitajwa CCM, ni kana kwamba limetajwa jina la baba yao mzazi,

Unajiuliza, Kwa maisha haya magumu, tozo kila pahala, kuna watu mamilipni Kwa mamilipni, bajeti yao haiwaruhusu waipange hadi ya kesho yao,

Wakiamka na maisha yanaanzia hapo!

Hawajui huko kwenye kutafuta kwao kwa siku hiyo, ikiwa watarudi na chochote cha kulisha familia zao,


Cha ajabu, unawakuta wana kadi za CCM! Hii ni huzuni na ujinga mkomavu vichwani mwao

Mtaichukia lini hii CCM inayokula nguvu zenu na kuwafanya masikini siku zote?

Embu, tokeni kwenye ujinga huo, mjaribu na kwingine!

Tupa kadi ya CCM tangu Leo!
walivukizwa uvumba wa moshi wa mwenge sasa hawajitambui
 
Cha muhimu lipa tozo uchagie uchumi mkuu wa taifa lako hayo malalamiko mengine hayana msaada wowote kwako.

Maisha ya dunia nzima kwa sasa ni magumu, hakuna ujanja zaidi ya kujitayarisha kisaikolojia kila unapotumia huduma zilizounganishwa na tozo.
Kwa akili kama hizi watz tuna safar ndefu
 
Hakuna Nchi Afrika ambayo inawaTozo Wananchi wake Watanzania tutakuwa mafukara sana.
 
Ungewashauri wachukue Kadi za Chama gani kwa sasa kwa mfano?
 
Mtu aliyelogwa, sio tu mpaka awe muokota makopo, maana Kwa siku za Leo, wengi tu ambao wanaokota makopo na kwenda kutengeneza pesa!

Ukisikia mtu kalogwa, si lazima aehuke ndio iwe kielelezo chake, no!!

Kuna majamaa yanaelimu zao na familia zao huko, yamelogwa na jitu linaitwa CCM! Hayana tofauti na vichaa na wendawazimu

Yamenyweshwa maji ya bendera ya kijani, yaani menyewe ikitajwa CCM, ni kana kwamba limetajwa jina la baba yao mzazi,

Unajiuliza, Kwa maisha haya magumu, tozo kila pahala, kuna watu mamilipni Kwa mamilipni, bajeti yao haiwaruhusu waipange hadi ya kesho yao,

Wakiamka na maisha yanaanzia hapo!

Hawajui huko kwenye kutafuta kwao kwa siku hiyo, ikiwa watarudi na chochote cha kulisha familia zao,


Cha ajabu, unawakuta wana kadi za CCM! Hii ni huzuni na ujinga mkomavu vichwani mwao

Mtaichukia lini hii CCM inayokula nguvu zenu na kuwafanya masikini siku zote?

Embu, tokeni kwenye ujinga huo, mjaribu na kwingine!

Tupa kadi ya CCM tangu Leo!
 
Back
Top Bottom