Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo anasa anayepunguza ni nani?, je ni serikali au mlipa kodi na tozo mwenyewe ndo anauetakiwa kupunguza anasa?Ni sehemu ya mapato ya serikali. Miaka ya nyuma ile ya kutegemea misaada imeshapita.
Kanisa Katoliki tulianza taratibu huu mpango wa kujitegemea tunakuwa na mavuno mara moja kwa mwaka, pesa iliyotoka Italia haiji tena.
Mpango umehamia serikalini, ni lazima tujitegemee na anasa tulizozoea zipungue.
Serikali ni machinery kubwa, inatumia sana na wakati huo huo inaingiza sana.Hizo anasa anayepunguza ni nani?, je ni serikali au mlipa kodi na tozo mwenyewe ndo anauetakiwa kupunguza anasa?