Ni sehemu ya mapato ya serikali. Miaka ya nyuma ile ya kutegemea misaada imeshapita.
Kanisa Katoliki tulianza taratibu huu mpango wa kujitegemea tunakuwa na mavuno mara moja kwa mwaka, pesa iliyotoka Italia haiji tena.
Mpango umehamia serikalini, ni lazima tujitegemee na anasa tulizozoea zipungue.