Mbali na maisha haya magumu, tozo kila pahala, mwananchi, Bado hujachoka tu kuwa na kadi ya CCM?

Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Hizo anasa anayepunguza ni nani?, je ni serikali au mlipa kodi na tozo mwenyewe ndo anauetakiwa kupunguza anasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…