Mbalizi Mbeya: Mfanyakazi wa ndani amepotea njia akiwa na mtoto mdogo, msaada wenu

Mbalizi Mbeya: Mfanyakazi wa ndani amepotea njia akiwa na mtoto mdogo, msaada wenu

Nyuki Mdogo

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2021
Posts
4,134
Reaction score
10,644
Screenshot_20220210-094842.png
 
Jamani kadogo duh sijui mama mtoto ana hali gani
 
Kwa Nini wanamtumikisha mtoto mdogo, Ambaye ilitakiwa awe shule, wahusika inabidi wamchukulie hatua muhusika.
 
Jamaniiii…. katoto kadogoo

Sijui mamake kama alilala usiku wa leo.
 
Back
Top Bottom