GIRITA
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 4,432
- 5,864
Kizazi cha wavaa modo na viduku pole
Messi aache udikteta akalee wajukuu sasa,tangu nazaliwa messi messil
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Messi aache udikteta akalee wajukuu sasa,tangu nazaliwa messi messil
Neema nae alimfanyiaga cavany malipo ulimwenguni PSG NI KIJIWE.Pengine hilo lipo sahihi lakini kwa kitendo alichokifanya Mbappe si sahihi.
Mwenzako anaweka mpira kwa maandalizi ya kupiga penalty wewe unakuja kuomba kupiga. Afadhali angelikuwa hata bado hajaanza kufanya hivyo!
Neymar kasimamia maamuzi yake ya kupiga unageuza kwa kufura hali ya kuwa penalty ya kwanza ulishapiga.
Kamgonga Messi kwa bahati mbaya unashindwa hata kuonyesha ishara ya kilichotokea ni bahati mbaya? Kwa haya Mbappe aliyoyafanya amekosea! Hayo mengineyo siyajui.
Kumbe mkuu mafanikio mnapeanagaAnapaswa ajue MESSI ana jeshi kubwa nyuma yake.
Hana ubavu wa kupambana nae
Watamsagia kunguni aishie kula Hela za Psg tu ila asipate mafaniki yoyote ya soka
Aache hizo tabia za kujiona special