Mbappe ageuka gumzo Kwa kumvunjia adabu Messi

Mbappe ageuka gumzo Kwa kumvunjia adabu Messi

Yani ni kweli mkuu kuna mdau huko juu katoa point nzuri sana yani ronaldo na messi ni bola wakastaaf misimu hii ijayo wastaaf kiheshima wanapoelekea ni dhihaka watakuja kustaaf kwa aibu

Yah, but! Messi bado ana kiwango bora kumzidi ronaldo, na hata mchezaji yeyote wa sasa. sema tu ile timu imejaa ubinafsi/utoto. Kila mtu hujiona star pale, na wengine kumbania passes n.k. Lau kama angelikua city wangefaidi sana uwepo wake, yeye ndie playmaker, mtoaji assists, penalt anatoa kwa wenzie bila kinyongo, in short jamaa angelikua anawalisha tu magoli wenzie.
 
Yah, but! Messi bado ana kiwango bora kumzidi ronaldo, na hata mchezaji yeyote wa sasa. sema tu ile timu imejaa ubinafsi/utoto. Kila mtu hujiona star pale, na wengine kumbania passes n.k. Lau kama angelikua city wangefaidi sana uwepo wake, yeye ndie playmaker, mtoaji assists, penalt anatoa kwa wenzie bila kinyongo, in short jamaa angelikua anawanywesha tu wenzie magoli.
Kweli na pep alimtaka aende pale city
 
Messi ni playmaker, finisher, assist machine, kiongozi uwanjani.

Qualities ambazo huwezi zipata zote kwa mbappe


Messi alinyimwa kimo which make so special bro utilize his other gift.

Kama ilivyo kwenye basket Steph curry Yuko kama Messi.

Kanyimwa height ya NBA players but he is fvcking scary on the court. Guarded by two or more players.

Mkimwacha tu ni kitu na box.

Na yeye hajali, yeye anajali kutupia hesabu mtafanya wenye na anajua kuwachezesha wenzake.

Hii ni kama Messi.

Mbappe ni mainstream media player Hana chochote special na ataflop soon
Luckily Messi n Mbappe wamecheza msimu mmoja pamoja pale ufaransa

Stats zinasema Messi amepitwa Goals pamoja n assist

My point ni kuwa messi alikuwa ni best wakati wake ni sio sasa umri umemtupa mkono tyr
 
Tatizo wengine wameshakaririshwa na baadhi ya wasiojua nini maana ya mpira! Eti old is gold, na ukiwabana wanakuja na kigezo cha world cup, wakati ile ni team work. Wachezaji wakiamua kuvimba na kutojituma uwanjani hata uwe star wa namna gani huchomoi.

Anakuja mtu eti messi hafiki kwa Cr7, mara messi hafiki kwa gaucho 🤣🤣🤣 ukibisha unaambiwa wana world cup,

Kwa performance hakuna anaemfikia messi, playmaker, assist, kuuchezea mpira, tuzo za ballon d'Or n.k n.k n.k

Yani nikiambiwa nichague wachezaji wawili bora kuwahi kutokea nitachagua MESSI NA DIEGO MARADONA
Kwani Argentina haikuwa na timu work?, kwa nini haikuchukua worldcup?.

Tena timu zote za Argentina ambazo Messi kachezea ni bora kuliko ile Argentina ya mwaka 1986 ambayo Maradona alifanya vitu vyake, kwa nini Messi asiwe oama Maradona kufanya vitu extra ili timu yake itwae Worldcup?
 
Sasa wewe umesema tuongee kwa fact ? Fact zenyewe sizioni na wala hauna reference.

Hivi kabisa unamfanisha Lewandoski na Mbabe kweli kabisa ,manake umesema tuongee kwa fact,ila tukisema tulete fact Lewandoski yupo juu zaidi ya Mbape.

Kuhusu Hallaand na Mbape tupo hapa na baada ya msimu kuisha tutafutae na kumbuka Hallaand anacheza ktk lig li ngumu na yenye ushindani mkubwa na bado atampiga gape Mbape. Jesus kidogo Arsenal haina quality player kama wa Man City na PSG,ila Jesus ukimweka PSG Mbape unamkataa.

Wewe PSG inaongoza 4 bila nusu fainali UEFA ,inaenda ugenini inapigwa 6 moja na Barca. Fainali wamecheza na Bayern ya kawaida sana (haina Ruben wala Ribery,Philip Lahm),game walitawala ila utoto mwingi mpaka wakapigwa.
Kama ulielewa nilichomaanisha nilikwambia Lewandowsk si striker wa aina yao ni mtu ambaye yupo juu kuliko hao wote including Mbappe ila hata siku moja Haaland na Jesus hawawezi kuwa juu ya Mbappe iwe ni kwa data uwanjani hata mafanikio tu Mbappe yupo mbali sana
 
Messi ni playmaker, finisher, assist machine, kiongozi uwanjani.

Qualities ambazo huwezi zipata zote kwa mbappe


Messi alinyimwa kimo which make so special bro utilize his other gift.

Kama ilivyo kwenye basket Steph curry Yuko kama Messi.

Kanyimwa height ya NBA players but he is fvcking scary on the court. Guarded by two or more players.

Mkimwacha tu ni kitu na box.

Na yeye hajali, yeye anajali kutupia hesabu mtafanya wenye na anajua kuwachezesha wenzake.

Hii ni kama Messi.

Mbappe ni mainstream media player Hana chochote special na ataflop soon
Sasa ataflop soon huo ndio uchawi wenyewe kwahiyo unakubali dogo kwa sasa ni Moto maana hata assist unazosemea messi hutengeneza msimu uliopita dogo kaongoza yeye
Kilichobaki ni kama ulivyosema ataflop na kwakua mnamuombea hivyo haya tusubiri sisi kwa sasa tunazungumzia ubora wake tunao uona
 
Mkitumia kigezo cha ballon dor kusema mchezaji flani ni bora, kwahyo mnataka kuniambia Messi ni bora kuliko Ronaldinho, Maladona, Ronaldo dilma, Pelle, galincha, Zidane!?
Messi ni bora zaidi ya hawa wote wewe ni ambie nini hasa ambacho hao unao wataja wanamzidi messi?
 
Kwani Argentina haikuwa na timu work?, kwa nini haikuchukua worldcup?.

Unajua maana ya team work? Au umeamua tu kuanzisha ligi!

Argentina ya sasa angalau wameonyesha nidhamu kwa maana wamejituma wakabeba makombe mawili ndani ya msimu mmoja, ingelikua ndio ile ya akina higuain, marcos rojo unadhani wangebeba!!

Ndio maana nikasema hata uwe fundi wa namna gani lakini kama teammates wakiamua kutojituma/kutompa ushirikiano Mchezaji wao unadhani watachukua!!


Refer PSG, ndio utapata jibu! Kwanini hafungi magoli mengi!! Umeona kuna maelewano mule!!
 
Nmeangalia mechi ya jana kati ya Montpellier na PSG jamaa wako happy wanapeana pass wana shangilia pamoja mambo mengine media zinayakuza
 
Back
Top Bottom