Mbappe ageuka gumzo Kwa kumvunjia adabu Messi

Mbappe ageuka gumzo Kwa kumvunjia adabu Messi

Sasa top Scorer hizo chance walikuwa wana create wakina nani? Mnangalia Output tu bila kuangalia build up ya mashambulizi zimeanzia wapi.

Ile PSG niki mchukua Jesus,Hallaand,Lewandoski nk watafunga magoli kuliko huyo Mbape.
Sasa Lewandowsk unamuona ni striker wa aina gani mkuu?
Halaand sivyupo hapo Man city na Jesus ametoka hapo tuone atamaliza msimu na goli ngapi mwenzie aubamayang alitoka Bundesliga bila kiatu ila Epl amebeba sasa tumuone huyo Haaland
 
Hakuna anaesema Mbappe mchezaji mbaya au sio mchezaji mzuri...but hafiki hata nusu ya Messi kwenye ubora wake
Tuzungumzie ubora wa Messi na Mbappe kwa sasa wote wakiwa PSG
 
Umeanza kuangalia mpira lini
yaani pua ya ibrahimovic ni ndefu kuliko career ya mbappe
Usilete ujuaji mkuu leta data hapa za ibrahimovic na personal awards zake au unafikiri hatujui kuwa hata Uefa hajawahi beba na umri wote huo alionao
Akiwa ndio kwanza ana miaka 23 Mbapoe tayari ana goli 33 za uefa huku huyo Ibrahimovic kucheza kwake miaka yote ana goli 41 tu.
 
Natamani Messi na Ronaldo wastaafu soka kipindi hiki kwa heshima maana siku zinavyozidi kwenda wanazidi kudhalilika tu

Anaedhalilika ni jamaa yako, Messi yeye mtazamaji tu wa Pambano kati ya Neimar na mbappe, na kama kweli ameanza kumfanyia mchezaji bora wa dunia, namsihi aache kabisa.

For me, Messi ni mkubwa kuzidi timu
 
Wanasahau figisu alizokuwa anafanya messi kwa akina ibramovich

Mti wenye matunda hupigwa mawe, Mtaongea sana, but messi ndie mchezaji bora kuwahi kutokea. Au mmeanza kufuatilia mpira miaka ya hivi karibuni?
 
Sasa Lewandowsk unamuona ni striker wa aina gani mkuu?
Halaand sivyupo hapo Man city na Jesus ametoka hapo tuone atamaliza msimu na goli ngapi mwenzie aubamayang alitoka Bundesliga bila kiatu ila Epl amebeba sasa tumuone huyo Haaland
Sasa wewe umesema tuongee kwa fact ? Fact zenyewe sizioni na wala hauna reference.

Hivi kabisa unamfanisha Lewandoski na Mbabe kweli kabisa ,manake umesema tuongee kwa fact,ila tukisema tulete fact Lewandoski yupo juu zaidi ya Mbape.

Kuhusu Hallaand na Mbape tupo hapa na baada ya msimu kuisha tutafutae na kumbuka Hallaand anacheza ktk lig li ngumu na yenye ushindani mkubwa na bado atampiga gape Mbape. Jesus kidogo Arsenal haina quality player kama wa Man City na PSG,ila Jesus ukimweka PSG Mbape unamkataa.

Wewe PSG inaongoza 4 bila nusu fainali UEFA ,inaenda ugenini inapigwa 6 moja na Barca. Fainali wamecheza na Bayern ya kawaida sana (haina Ruben wala Ribery,Philip Lahm),game walitawala ila utoto mwingi mpaka wakapigwa.
 
Nasimama na Boss Mbappe kwenye hili, Neymar na kaka ake Messi kama wanaona PSG hapawafai waondoke waiache PSG salama kwanza wao wawili wamechangia kiasi kikubwa kukoss kombe la uefa msimu uliopita kwa uchezaji wao wa kizembe na wanatakiwa wajue kila timu ina mfalme wake na kwa hapa PSG ni Mbappe

Ronaldo fan katika ubora wako wa kukosoa kosoa
 
Sasa Lewandowsk unamuona ni striker wa aina gani mkuu?
Halaand sivyupo hapo Man city na Jesus ametoka hapo tuone atamaliza msimu na goli ngapi mwenzie aubamayang alitoka Bundesliga bila kiatu ila Epl amebeba sasa tumuone huyo Haaland

IMG_4902.jpg


2016/17 with 31 Bundesliga goals
 
Acha ujinga wa documentary
ukioneshwa magoli ya giroud na makombe aliyoyapata utasema hakuna mchezaji wa kumfikia
Kaa vizuri fikiria Messi alivyokuwa anafanya anavyotaka miaka 20 mfulilizo

Huyo pele alikuwa anacheza mpaka na walemavu
Ukipata time nenda FIFA TV kaangalie documentary ya Pelle utafuta kauli yako yule mzee ni nuksi mimi nlikua mbishi kama wewe baada ya kutazama hio clip nmekubali Pelle ni next level
 
Ana world cup messi hana Kiufupi dogo anajua kuwa yeye psg ni muhimu kuliko messi so yeye account hizo ballon d or anatamba kwa umuhimu wake na thamani anavyopewa psg same to messi kwenye kipindi chake barca alivyokuwa anasumbua wenzie na kwa umuhimu wake akiwa camp nuo

De lima
Iniesta
Gaucho
Xavi
Giroud
Gotze
Zidane

So, kigezo chako ni world cup sio!! Basi hata hawa ni bora zaidi ya Messi kwakua wana world cup!!!

Messi atabakia kuwa bora all the time, hapo hakuna hata mmoja ana nusa kwa jamaa.

Waabheja sana
 
De lima
Iniesta
Gaucho
Xavi
Giroud
Gotze
Zidane

So, kigezo chako ni world cup sio!! Basi hata hawa ni bora zaidi ya Messi kwakua wana world cup!!!

Messi atabakia kuwa bora all the time, hapo hakuna hata mmoja ana nusa kwa jamaa.

Waabheja sana

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
"Akili mtu wangu" unamaanisha nini? Au unamaamisha aliye chukua medali ya kombe la dunia ni bora kuliko mwenye Ballon dor.

Pamoja Ballon dor kuwa na siasa zake lkn haindoi kwamba Messi ni mchezaji wa kipekee hana mfano wa kumfananisha nae.

Hata kwa sasa ukisema uchambue uwezo alio nao sasa Messi na Mbape bado Mbape hamfikii Messi labda alicho mzidi ni mbio tu.
Messi ni playmaker, finisher, assist machine, kiongozi uwanjani.

Qualities ambazo huwezi zipata zote kwa mbappe


Messi alinyimwa kimo which make so special bro utilize his other gift.

Kama ilivyo kwenye basket Steph curry Yuko kama Messi.

Kanyimwa height ya NBA players but he is fvcking scary on the court. Guarded by two or more players.

Mkimwacha tu ni kitu na box.

Na yeye hajali, yeye anajali kutupia hesabu mtafanya wenye na anajua kuwachezesha wenzake.

Hii ni kama Messi.

Mbappe ni mainstream media player Hana chochote special na ataflop soon
 
Na ndiye aliemuondoa THIERRY HENRY kwenye NUMBER yk na baadae akamtoa kabisa kwenye! MESSI = sIsihemu
Messi na Henry walicheza pamoja na Trio yao ilikuwa Messi Eto'o Henry. Katika kile kikosi Messi alikuwa akichezeshwa kama false 9, Henry akitokea pembeni kushoto na Eto'o, ama atatokea pembeni kulia au atacheza katikati.
 
Cjawah ila takwimu zake sio za kawaida mkuu
Pele kuna mechi alikuwa anacheza na mtu mguu mfupi
wengine hawana mikono
messi angekuwa na magoli 5000 enzi hizo
mbona Diego Armando Maradona anatajwa ni moja ya wachezaji bora wa muda wote ila ana magoli machache na takwimu zake za kawaida hata mbappe zipo juu ?

Kwasababu watu wamemuona vizuri kuliko pele

sisi tuna tabia ya kupenda vya zamani na kuona ndio bora

Messi ni hatari
 
Back
Top Bottom