Akiona nyomi anadhani anapendwa mno.JPM Ana kazi....anadangànywa Sana na wanafiki waliomzunguka!
Kama ni washabiki wa chadema waliziweka wenyewe na wamezitoa wenyewe shida iko wapi?Hapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya Dkt. Magufuli kupita vijana wamesimamiwa na polisi kushusha bendera za CHADEMA.
=====
Hapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya JPM kupita vijana wamesimamiwa na polis kushusha bendera za CHADEMA.
View attachment 1585065
Tunataka magoti mpaka yaote sugu safari hiiKama ni washabiki wa chadema waliziweka wenyewe na wamezitoa wenyewe shida iko wapi?
Mwambieni tundu lisu kesho aseme hiyo maana ndo hoja zake mpaka mwisho wa kampeni.
Mlisema mbeya mnapendwa sasa mnalilia nini?
Hata baba akiwa much know sana kuna watoto watakao pata matatizo shule lakini hakuna wakumwambia. Atakapokuja kushtuka analea mateja na wavuta bangi ndani ya nyumba.Ndivyo wanavyo muaminisha kwamba CCM inakybalika na wamefanikiwa kufuta upinzani na yeye akipita anaamini hivyo
Waliziweka na kuzishusha chini ya ulinzi wa polisi ?Kama ni washabiki wa chadema waliziweka wenyewe na wamezitoa wenyewe shida iko wapi?
Mwambieni tundu lisu kesho aseme hiyo maana ndo hoja zake mpaka mwisho wa kampeni.
Mlisema mbeya mnapendwa sasa mnalilia nini?
Kwenye hiyo video,camera man anamchimba mkwara huyo mama kisa tuu anaongelea negatives kwa chadema, maana kaanza na ccm wanaona kichefuchefu wakiona hiyo bendera na mwisho kaja kuua na kusema tumewachoka chadema. Ni wananchi ndo wanang'oa hizo bendera.pia sio ustaarabu kuweka bendera tena juuu kwenye nguzo ya umeme.tena kwenye maendeleo ya vitu ambavyo chadema hampendi.
Kwani nyie kwenu hamna tisheti??CCM ni ile ileeee...
Flashback...2010
View attachment 1585116
Presently...2020
View attachment 1585114
Chama Cha Mazezeta.... Mipango ya kizezeta inapangwa na Mazezeta kumdanganya zezeta m'bigiNdivyo wanavyo muaminisha kwamba CCM inakybalika na wamefanikiwa kufuta upinzani na yeye akipita anaamini hivyo