Uchaguzi 2020 Mbarali, bendera za CHADEMA zikishushwa mbele ya polisi kabla ya Magufuli kupita

Uchaguzi 2020 Mbarali, bendera za CHADEMA zikishushwa mbele ya polisi kabla ya Magufuli kupita

Bendera moja ndiyo unapiga kelele hivyo, JPM anachanja mbuga.

Wewe ni kiumbe cha ajabu sana.
Sasa kama mtu anaogopa hadi bendera, je akikutana uso kwa oso na Lissu si atazimia.
 
Hapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya Dkt. Magufuli kupita vijana wamesimamiwa na polisi kushusha bendera za CHADEMA.

=====

Hapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya JPM kupita vijana wamesimamiwa na polis kushusha bendera za CHADEMA.

View attachment 1585065
Chadema kwisha habari yenu, Tulia kawatutliza kweli kweli. Wanawake wakiamua wanaweza.Tunduma chadema haipo tena hata wagombea wenu wanakamilisha ratiba tu.
 
Kama ni washabiki wa chadema waliziweka wenyewe na wamezitoa wenyewe shida iko wapi?

Mwambieni tundu lisu kesho aseme hiyo maana ndo hoja zake mpaka mwisho wa kampeni.

Mlisema mbeya mnapendwa sasa mnalilia nini?
Hiyo ndiyo common sense yako ilivyokutuma.
 
Siu
Kama ni washabiki wa chadema waliziweka wenyewe na wamezitoa wenyewe shida iko wapi?

Mwambieni tundu lisu kesho aseme hiyo maana ndo hoja zake mpaka mwisho wa kampeni.

Mlisema mbeya mnapendwa sasa mnalilia nini?
Simue ata mnaona haibu vtu vingne kujbu,sio kla ktu ujibu.....
 
Chadema kwisha habari yenu, Tulia kawatutliza kweli kweli. Wanawake wakiamua wanaweza.Tunduma chadema haipo tena hata wagombea wenu wanakamilisha ratiba tu.
LISSU IN TUNDUMA

2EC82D60-F3FF-418E-B98E-EE4DC12B53BB.png
5A61D01B-A1A0-4817-857C-02D1ACC0C0B8.png
 
Hapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya Dkt. Magufuli kupita vijana wamesimamiwa na polisi kushusha bendera za CHADEMA.

=====

Hapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya JPM kupita vijana wamesimamiwa na polis kushusha bendera za CHADEMA.

View attachment 1585065
So sad japo kijana kapata ajira..leo nyumbani watoto wataenda chooni
 
Watu wenye busara hawaangalii bendera wala kwenda kwenye kampeni wanasubiri tar 28/10 wamchague Lissu bila wasiwasi
 
Kwenye hiyo video,camera man anamchimba mkwara huyo mama kisa tuu anaongelea negatives kwa chadema. Maana kaanza na ccm wanaona kichefuchefu wakiona hiyo bendera na mwisho kaja kuua na kusema tumewachoka Chadema.

Ni wananchi ndo wanang'oa hizo bendera. Pia sio ustaarabu kuweka bendera tena juuu kwenye nguzo ya umeme.tena kwenye maendeleo ya vitu ambavyo Chadema hampendi.
Barabara ya nyerere road mbona jiwe kaweka mabango kibao
 
Wanacheza kweli na akili za Maggu hawa wapambe wake! ni jambo la hatari sana, wamweleze ukweli wa hali ilivyo kuliko kumwongopea.
 
Hapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya Dkt. Magufuli kupita vijana wamesimamiwa na polisi kushusha bendera za CHADEMA.

=====

Hapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya JPM kupita vijana wamesimamiwa na polis kushusha bendera za CHADEMA.

View attachment 1585065

Kwa hili HAPANA!
CHADEMA fikisheni taarifa hii TUME YA UCHAGUZI na MSAJILI kuwashtaki Polisi hawa.
MAADILI YANASEMA NI KOSA KWA MTU YEYOTE KUCHANA BENDERA AU BANGO LA MGOMBEA WA CHAMA CHOCHOTE......!!!
CHADEMA pelekeni MALALAMIKO HAYA FASTA ILI KUWEKA KUMBUKUMBU SAWA..!
 
Hapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya Dkt. Magufuli kupita vijana wamesimamiwa na polisi kushusha bendera za CHADEMA.

=====

Hapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya JPM kupita vijana wamesimamiwa na polis kushusha bendera za CHADEMA.

View attachment 1585065
Wanashusha bendera kwenye milingoti,
Wanapandisha bendera kwenye Mioyo,
 
Kwa hili HAPANA!
CHADEMA fikisheni taarifa hii TUME YA UCHAGUZI na MSAJILI kuwashtaki Polisi hawa.
MAADILI YANASEMA NI KOSA KWA MTU YEYOTE KUCHANA BENDERA AU BANGO LA MGOMBEA WA CHAMA CHOCHOTE......!!!
CHADEMA pelekeni MALALAMIKO HAYA FASTA ILI KUWEKA KUMBUKUMBU SAWA..!
Mkuu hata wakifikisha hakuna chochote kitakachofanyika.
 
Lakini itakuwa imeingia kwenye kumbukumbu na ikiwa kutakuwa na kufikishana kwene Mahakama za ICC hii ikawe kama Ushahidi!
Juzi Lissu kasema wameshapeleka malalamiko yao mengi NEC lkn hayajafanyiwa kazi.
 
Back
Top Bottom