othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Yule mahera mwenye uso wa kima yupo wp aje apige ukunga wake huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu hadanganywi na mwenyekiti wake kuwa atashinda?. Chadema hamuwezi shindana na Magufuli kabisa, yeye ni level nyingine. Mtaishia kuiona ikulu kwenye TV tu.JPM Ana kazi....anadangànywa Sana na wanafiki waliomzunguka!
mahera na NEC hapo watavaa miwani ya mbaoHapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya Dkt. Magufuli kupita vijana wamesimamiwa na polisi kushusha bendera za CHADEMA.
=====
Hapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya JPM kupita vijana wamesimamiwa na polis kushusha bendera za CHADEMA.
View attachment 1585065
Kwa hali kama hii ya kijinga nani anahatarisha amani ya nchi hii? Ingekuwa kwamba ni bendera za CCM ndio zinashushwa hali ingekuwaje?Hapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya Dkt. Magufuli kupita vijana wamesimamiwa na polisi kushusha bendera za CHADEMA.
=====
Hapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya JPM kupita vijana wamesimamiwa na polis kushusha bendera za CHADEMA.
View attachment 1585065
hii ina maana ganiHapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya Dkt. Magufuli kupita vijana wamesimamiwa na polisi kushusha bendera za CHADEMA.
=====
Hapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya JPM kupita vijana wamesimamiwa na polis kushusha bendera za CHADEMA.
View attachment 1585065
Nguzo ya TANESCO walipata kibali tatizo ni kutofuata utaratibu wa kupeperusha bendera wataisoma nambaHapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya Dkt. Magufuli kupita vijana wamesimamiwa na polisi kushusha bendera za CHADEMA.
=====
Hapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya JPM kupita vijana wamesimamiwa na polis kushusha bendera za CHADEMA.
View attachment 1585065
hii nidalili mbaya sanaKwa hali kama hii ya kijinga nani anahatarisha amani ya nchi hii? Ingekuwa kwamba ni bendera za CCM ndio zinashushwa hali ingekuwaje?
Wamenyimwa maarifa ili waangamieCCM inaangamia kwa viongozi wake kukosa maarifa!
Wameyakimbia maneno,Uhuru,haki na maendeleo.kwao hayo maneno no sumu.Kwa sasa Magufuli hauziki tena kisera ndo maana hata wapambe wake huku mtandaoni hatuwaoni.
Anaogopa bendera!?Hapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya Dkt. Magufuli kupita vijana wamesimamiwa na polisi kushusha bendera za CHADEMA.
=====
Hapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya JPM kupita vijana wamesimamiwa na polis kushusha bendera za CHADEMA.
View attachment 1585065