......chini ya usimamizi wa polisi.............Kama ni washabiki wa chadema waliziweka wenyewe na wamezitoa wenyewe shida iko wapi?
Mwambieni tundu lisu kesho aseme hiyo maana ndo hoja zake mpaka mwisho wa kampeni.
Mlisema mbeya mnapendwa sasa mnalilia nini?
Uonevu Kama huo ndio ,unazidisha hasika,na pia wanapo ambiwa,Uhuru,haki na maendeleo.Hawataki hata kuelewaa wanaambiwa Nini.Ndivyo wanavyo muaminisha kwamba CCM inakybalika na wamefanikiwa kufuta upinzani na yeye akipita anaamini hivyo
Tume imesema kuchana kipeperushi chamgombea yoyote nikosa hatamimi nasema nimakosa kabisa je kushusha bendera yachama kingine kwaajili yamgombea mungine asizione kwausimamizi wa vyombo vyadola hii imekaaje katika sheria na kanuni zauchaguzi?naomba nipate maelezo hapoHapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya Dkt. Magufuli kupita vijana wamesimamiwa na polisi kushusha bendera za CHADEMA.
=====
Hapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya JPM kupita vijana wamesimamiwa na polis kushusha bendera za CHADEMA.
View attachment 1585065
Sasa hii ndoinakuwaga inasound yanππHapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya Dkt. Magufuli kupita vijana wamesimamiwa na polisi kushusha bendera za CHADEMA.
=====
Hapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya JPM kupita vijana wamesimamiwa na polis kushusha bendera za CHADEMA.
View attachment 1585065
Unnecessary provocation which will lead to the vote of anger against. Ujinga wa kiwango cha Standart Gauge RailwayHapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya Dkt. Magufuli kupita vijana wamesimamiwa na polisi kushusha bendera za CHADEMA.
=====
Hapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya JPM kupita vijana wamesimamiwa na polis kushusha bendera za CHADEMA.
View attachment 1585065
Mwache ataishia kupiga magoti tu.JPM Ana kazi....anadangΓ nywa Sana na wanafiki waliomzunguka!
Nazani Sheria ya uchaguzi hairuhusu kugawa nguo Wala kofia Kipindi hiki Cha uchaguzi
Analishwa matango pori mpaka baaasiJPM Ana kazi....anadangΓ nywa Sana na wanafiki waliomzunguka!
Hapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya Dkt. Magufuli kupita vijana wamesimamiwa na polisi kushusha bendera za CHADEMA.
=====
Hapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya JPM kupita vijana wamesimamiwa na polis kushusha bendera za CHADEMA.
View attachment 1585065
Kizuri chajiuza kibaya chajitangazaWamesahau kwamba Lissu hajaweka bango lolote kumtangaza ila bado anakubalika kuliko aliyeweka mabango yake kila mahala!
Ccm ni wajinga sijawai ona. Hawajui kwa vitendo hivi hata wale wajinga waliokuwa wanataka kuwapa kura, hawatowapa kura???πππHapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya Dkt. Magufuli kupita vijana wamesimamiwa na polisi kushusha bendera za CHADEMA.
=====
Hapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya JPM kupita vijana wamesimamiwa na polis kushusha bendera za CHADEMA.
View attachment 1585065
Hapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya Dkt. Magufuli kupita vijana wamesimamiwa na polisi kushusha bendera za CHADEMA.
=====
Hapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya JPM kupita vijana wamesimamiwa na polis kushusha bendera za CHADEMA.
View attachment 1585065
Hapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya Dkt. Magufuli kupita vijana wamesimamiwa na polisi kushusha bendera za CHADEMA.
=====
Hapa ni Kongoro, Mswiswi- Mbarali. Leo kabla ya JPM kupita vijana wamesimamiwa na polis kushusha bendera za CHADEMA.
View attachment 1585065
Bendera moja ndiyo unapiga kelele hivyo, JPM anachanja mbuga.Watu wengine ni waajabu sana. Kwani bendera ndizo zinazopiga kura?
Mioyo ya watu ipo chadema, sasa kama wanaweza kuondoa hiyo imani kwenye mioyo ya watu, basi watafanikiwa, lakini hili la kuondoa bendera na mabago, ni sawa na mtu kukimbia kuvuli chake mwenyewe.
Kwa sasa Magufuli hauziki tena kisera ndo maana hata wapambe wake huku mtandaoni hatuwaoni.