Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mara zote tawala dhalimu zinapoanguka wapambe njaa hupoteza vyeo na vijimadaraka uchwara walivyo navyo , nafahamu hofu yako ilipo , bali Chadema haitalipa kisasi chochote , kama kazi uliyonayo ni ya halali kulingana na elimu yako basi usihofuFalse hopes
Mbeya iko wazi mbona? Kma walibeba majimbo 4 huko Mbeya/Songwe uchaguzi wa 2015 kipi kinakufanya usiamini na hili litaanguka upinzani?False hopes
Mwanyamaki alikuwa na mipango mingine nje ya nchi , Mwambigija nadhani ni mkakati wa CHADEMA kumpisha Sophia Mwakagenda , ambaye ni kama tayari ameshinda RungweMkuu Hivi Mwanyamaki wa Kyela aliishia wapi? Au aliunga mguu juhudi?
Then cjaelewa kwanini Mwambigija hagombei jimbo lolote mwaka huu. Naona angefaa sana bungeni!!
I wish kamanda Lissu akafungie kampeni zake Mbeya. Huko akizoa kura kuanzia Njombe,Iringa,Mbeya,Songwe, mpaka Katavi hadi Kigoma na Kagera. Mchezo umeisha mapema kabisaMwanyamaki alikuwa na mipango mingine nje ya nchi , Mwambigija nadhani ni mkakati wa Chadema kumpisha Sophia Mwakagenda , ambaye ni kama tayari ameshinda Rungwe
Hakika !Upendo hushinda chuki
Mwigulu mtamuua. Maana anahaha asiporejea bungeni atakufa njaa yule madevuSiyo huko tu majimbo Ni mengi pamoja na Ile ya Mwigulu
Kwa ufupi pakiwa na Tume huru hata kwa 40% hakuna mbunge wa CCM anaweza kurudi bungeniNyamagana jimbo limeondoka lile ccm wajiandae tu
Ameshachukua hadi Mtwara, Newala na NachingweaI wish kamanda Lissu akafungie kampeni zake Mbeya. Huko akizoa kura kuanzia Njombe,Iringa,Mbeya,Songwe, mpaka katavi hadi kigoma na kagera. Mchezo umeisha mapema kabisa
Kabisa mkuu kwa mfano jimbo letu la Ukongaa huku Slaa hana chake Asia Msangi ni moto sanaKwa ufupi pakiwa na Tume huru hata kwa 40% hakuna mbunge wa ccm anaweza kurudi bungeni