Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Hali ya Mwigulu ni mbaya mno !Mwigulu mtamuua. Maana anahaha asiporejea bungeni atakufa njaa yule madevu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hali ya Mwigulu ni mbaya mno !Mwigulu mtamuua. Maana anahaha asiporejea bungeni atakufa njaa yule madevu
Bilashaka maana kapoteana kabisa. Hivi anapambana na nani wa upinzani kamanda?Hali ya Mwigulu ni mbaya mno !
Pia Singida kuna lile ambalo CCM wameweka mgombea mwenye rekodi ya utekaji, utesaji na mauaji - RAMADHANI IGHONDUSiyo huko tu majimbo Ni mengi pamoja na Ile ya Mwigulu
Subiri mtakavyofyatuliwa tarehe 28/10/2020.Taarifa zinadokeza kwamba miongoni mwa majimbo mengi ya uchaguzi ambayo CCM itaangukia pua, limo Jimbo la Mbarali linalotajwa kuchukuliwa na Chadema , ambapo imetajwa sababu kuu kuwa ni ubora wa mgombea ubunge wa chama hicho aitwaye Liberatus Mwang'ombe , huyu kijana ameunganisha makundi yote ya Mbarali kuanzia wazee , vijana na watoto .
Ameunganisha wahanga wote walioumizwa na TANAPA , na sasa wakazi wote wa Mbarali wanamchukulia kama Mkombozi ambaye wamemuahidi kura zote za ndiyo
Video hii ni ya Mkutano wa ndani wa BAWACHA jimbo ambapo mgombea ubunge alialikwa.
jionee mwenyewe.
View attachment 1594449
CDM watampa walau ukatibu kataHali ya Mwigulu ni mbaya mno !
Tuendelee kusubiriEndelea kujipa matumani, majibu utayapata baada ya tarehe 28/10/2020.
Dah... Na hapo hakuna wasanii, wala usombaji wa vichwa kwa maloriTaarifa zinadokeza kwamba miongoni mwa majimbo mengi ya uchaguzi ambayo CCM itaangukia pua, limo Jimbo la Mbarali linalotajwa kuchukuliwa na Chadema , ambapo imetajwa sababu kuu kuwa ni ubora wa mgombea ubunge wa chama hicho aitwaye Liberatus Mwang'ombe , huyu kijana ameunganisha makundi yote ya Mbarali kuanzia wazee , vijana na watoto .
Ameunganisha wahanga wote walioumizwa na TANAPA , na sasa wakazi wote wa Mbarali wanamchukulia kama Mkombozi ambaye wamemuahidi kura zote za ndiyo
Video hii ni ya Mkutano wa ndani wa BAWACHA jimbo ambapo mgombea ubunge alialikwa.
jionee mwenyewe.
View attachment 1594449
Mbeya iko wazi mbona? Kma walibeba majimbo 4 huko Mbeya/Songwe uchaguzi wa 2015 kipi kinakufanya usiamini na hili litaanguka upinzani?
Kwa ufupi Mbeya na Songwe hamna chenu labda muibe tu.
Kabisa MKUUI wish kamanda Lissu akafungie kampeni zake Mbeya. Huko akizoa kura kuanzia Njombe,Iringa,Mbeya,Songwe, mpaka katavi hadi kigoma na kagera. Mchezo umeisha mapema kabisa
Mkuu inaonekana una grudges nyingi sana na CHADEMA sifahamu walikukosea nini.Ha ha ha ha ha hata Arsenal inawashabiki wafia timu, japo matokeo yamekuwa ya kusua sua. Tungependa wapinzani washinde lakini kwa bahati mbaya, waliobaki mifano mifano ya wapinzani.
AMEEEEEEENUpendo hushinda chuki
Hata Vwawa yule Hasunga sijui kama atarejea bungeniTunamuomba sana Mungu aendelee kuibariki Chadema ili watu wengi zaidi wakombolewe
Mwanyamaki hakugombea.Mkuu Hivi Mwanyamaki wa Kyela aliishia wapi? Au aliunga mguu juhudi?
Then cjaelewa kwanini Mwambigija hagombei jimbo lolote mwaka huu. Naona angefaa sana bungeni!!