Uchaguzi 2020 Mbarali: Ngome mpya ya CHADEMA isiyofahamika

Uchaguzi 2020 Mbarali: Ngome mpya ya CHADEMA isiyofahamika

Taarifa zake tunazo, ametumiwa pesa ili awahonge hao vijana malimbukeni waende wakajazane humo ndani
 
Kama atashinda hatashinda kwa sera za chama wala kukubalika kwake Ila atashinda sababu CCM imemsimamisha mgombea ambaye hana mvuto na ambaye wanaccm wa mbarali hawakumtarajia kupitishwa. Hiyo imepelekea kuwa na kampasuko huko CCM.
Mwang'ombe umarekani mwingi na ni msomi pia.
 
Taarifa zinadokeza kwamba miongoni mwa majimbo mengi ya uchaguzi ambayo CCM itaangukia pua, limo Jimbo la Mbarali linalotajwa kuchukuliwa na Chadema , ambapo imetajwa sababu kuu kuwa ni ubora wa mgombea ubunge wa chama hicho aitwaye Liberatus Mwang'ombe , huyu kijana ameunganisha makundi yote ya Mbarali kuanzia wazee , vijana na watoto .

Ameunganisha wahanga wote walioumizwa na TANAPA , na sasa wakazi wote wa Mbarali wanamchukulia kama Mkombozi ambaye wamemuahidi kura zote za ndiyo

Video hii ni ya Mkutano wa ndani wa BAWACHA jimbo ambapo mgombea ubunge alialikwa.

jionee mwenyewe.

View attachment 1594449
Hongera kwake. Usisahau kutupa mrejesho baada ya uchaguzi, maana ninyi ni wazuri kwa 'introduction' lakini wabaya kwa 'conclusion'.
 
Mkuu Hivi Mwanyamaki wa Kyela aliishia wapi? Au aliunga mguu juhudi?

Then cjaelewa kwanini Mwambigija hagombei jimbo lolote mwaka huu. Naona angefaa sana bungeni!!
Mwambigija aka mzee wa upako no mshehereshaji hafai kuwa mbunge hasa wa CHADEMA.
 
Back
Top Bottom