Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,403
- 4,692
Tukutane October 28Mwanyamaki alikuwa na mipango mingine nje ya nchi , Mwambigija nadhani ni mkakati wa Chadema kumpisha Sophia Mwakagenda , ambaye ni kama tayari ameshinda Rungwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukutane October 28Mwanyamaki alikuwa na mipango mingine nje ya nchi , Mwambigija nadhani ni mkakati wa Chadema kumpisha Sophia Mwakagenda , ambaye ni kama tayari ameshinda Rungwe
Kabisa...Hapo hakuna wasanii.
Vamia uone motoHuwa mnaziita ngome zikivamiwa mnaufyata?
hahaha! mkilalamika ngome zimevamiwa nitawachekaVamia uone moto
Hongera kwake. Usisahau kutupa mrejesho baada ya uchaguzi, maana ninyi ni wazuri kwa 'introduction' lakini wabaya kwa 'conclusion'.Taarifa zinadokeza kwamba miongoni mwa majimbo mengi ya uchaguzi ambayo CCM itaangukia pua, limo Jimbo la Mbarali linalotajwa kuchukuliwa na Chadema , ambapo imetajwa sababu kuu kuwa ni ubora wa mgombea ubunge wa chama hicho aitwaye Liberatus Mwang'ombe , huyu kijana ameunganisha makundi yote ya Mbarali kuanzia wazee , vijana na watoto .
Ameunganisha wahanga wote walioumizwa na TANAPA , na sasa wakazi wote wa Mbarali wanamchukulia kama Mkombozi ambaye wamemuahidi kura zote za ndiyo
Video hii ni ya Mkutano wa ndani wa BAWACHA jimbo ambapo mgombea ubunge alialikwa.
jionee mwenyewe.
View attachment 1594449
Lissu alisema "LAZIMA" ataendelea na kampeni hata kama amezuiwa na NEC. Mbona KAUFYATA? Na UFIPA WOTE MMEUFYATA? Lianzisheni tuone!Vamia uone moto
Mwambigija aka mzee wa upako no mshehereshaji hafai kuwa mbunge hasa wa CHADEMA.Mkuu Hivi Mwanyamaki wa Kyela aliishia wapi? Au aliunga mguu juhudi?
Then cjaelewa kwanini Mwambigija hagombei jimbo lolote mwaka huu. Naona angefaa sana bungeni!!
Lissu alisema "LAZIMA" ataendelea na kampeni hata kama amezuiwa na NEC. Mbona KAUFYATA? Na UFIPA WOTE MMEUFYATA? Lianzisheni tuone!