Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Watu wote waliokuwa hawapindishi maneno tangu kale walikuwa wanaambiwa hivyoNisawa, lakini mbona minaona kama ana health mental..☹️
SOCIAL INFERENCESHabari!
Wengi wanajitahidi kusema ukweli na wengine kukemea viongozi. Lakini karibu wote wanatumia indirect way (kuzunguka zunguka) ila huyu Mbarikiwa Mwakipesile hazunguki anakwenda moja kwa moja .
View attachment 2708823
Nisawa mkuu, lakini kuongea kwa staha ni jambo jema sana hata kwa afya ya akili.Watu wote waliokuwa hawapindishi maneno tangu kale walikuwa wanaambiwa hivyo
Health mental ndio niniNisawa, lakini mbona minaona kama ana health mental..[emoji3525]
Nikweli yawezekana anayo yasema ni yaukweli, lakini kwanamna anavyo ufikisha ujumbe wake naona kama anashida ya akili...[emoji2955]
Ni MilembeHealth mental ndio nini
awe na shida asiwe na shida...ujumbe uko clear.Nisawa, lakini mbona minaona kama ana health mental..[emoji3525]
Nikweli yawezekana anayo yasema ni yaukweli, lakini kwanamna anavyo ufikisha ujumbe wake naona kama anashida ya akili...[emoji2955]
Usinitishe, usinitishe! Hata kama wewe ni Rais, Waziri, Mkuu wa Mkoa, Usalama wa Taifa! Usinitishe!!Weka, andika hata maneno machache hicho anachoongea ndugu Mtanganyika.
Nisawa, lakini mbona minaona kama ana health mental..[emoji3525]
Nikweli yawezekana anayo yasema ni yaukweli, lakini kwanamna anavyo ufikisha ujumbe wake naona kama anashida ya akili...[emoji2955]
Kuna wakati inafika hakuna namnaNisawa mkuu, lakini kuongea kwa staha ni jambo jema sana hata kwa afya ya akili.
Mimi ni Mnyaki.Habari!
Wengi wanajitahidi kusema ukweli na wengine kukemea viongozi. Lakini karibu wote wanatumia indirect way (kuzunguka zunguka) ila huyu Mbarikiwa Mwakipesile hazunguki anakwenda moja kwa moja.
View attachment 2708823
Hakuguswa.Ukafiri na chuki za kijinga, mbona kipindi cha magu walikua kimya?
Kwahiyo wakenya wote ambao Wana freedom of expression hawana staha?Nisawa mkuu, lakini kuongea kwa staha ni jambo jema sana hata kwa afya ya akili.