Mbasha aomba msamaha kwa Kosa alilotenda

Status
Not open for further replies.

Mjinga sana huyo jamaa mkuu! Kwahiyo anatumia ukilanja wake kwenye familia kubaka!
 
The Bold utakuwa umeisaidia jamii kwa revelation hii. Mungu lazima akutunuku. Umeweza kuwasaidia watu wake wasihadaike na mashetani. How I miss Mzee Kulola.
 
mzee kulola anaingiaje kwenye hii ishu? ana uhusiano gani na hizi pande?
 
Naanza kupata shaka hata ule mchuma wa mamilion wa Flora atakuwa kanunuliwa na Gwajima,pole kwa Emma jela inamsubiri,huku Gwajima ndo ajimilikishe kabisa

Hpo hamna kesi ni hela inatembea tu m2 anagegedwa mara3 au zaidi unasema umebakwa,hakimu atakufunga cz amepewa rushwa ila ima nae c mjinga atakuja na bomu gwajima ataomba poo,hawa manabii wa ajabu kiama chao chaja yani wao ni uzinzi tu.

Mbasha anaonewa ingekua mimi ningelipiza kwa mbinu a mbayo gwajima angefunga mdomo ama aniue
 
Hakuna mtu anaweza kutrace IP address hapa JF...... Invisible halali kuhakikisha usalama wako The bold ....cha msingi hatuvunji sheria......Wameshindwa viwavi wenye ruzuku za kufuru zisizokaguliwa na CAG wataweza kuku tu wanaochungulia JF kwa simu za tochi?
 
Last edited by a moderator:
Ninyi ndo watu wa maana bora useme black and white
 
The Bold utakuwa umeisaidia jamii kwa revelation hii. Mungu lazima akutunuku. Umeweza kuwasaidia watu wake wasihadaike na mashetani. How I miss Mzee Kulola.

Kafungua macho ya watu wengi wakusikia tumesikia endelea kutuhabarisha The Bold
 

Mkuu usiogope kuwa na amani endelea kuwa na moyo huo huo wa kufichua maovu. BIG UP BOLD
 
ha ha ha ha.... mkuu The bold umemaliza kazi, umebadilisha upepo tayari kwa kumwaga data ambazo hata kama si za kweli ila lazima zinafanana na ukweli

Mkuu hakuna kilichojificha hapo. Ni suala la muda tu, naamini kila kitu kitakuwa sawa.
 
Last edited by a moderator:
Emma Mbasa akini PM nampa mbinu kali sana kumuaibisha Gwajima.

Au laa kufa kijerumani na tai shingoni kama Babu Seya na wanaye walioiachia "mahakama itende haki" Nani kasema bongo kuna haki, hapa mbasha unapigwa kifungo cha maisha jela halafu wanakufuata huko huko na kukuzima na Polonium, chezea freemasonry
 
Au anaogopa UKIMWI,Condom hajui kutumia ndo maana akaona ajiservie wa ndani hapo hapo anaemfahamu tokea mdogo

Inawezekana kabisa amezoea vya kunyonga vya kuchinja hawezi. Katumia nguvu kubwa kuliko akili ndogo tu kutafuta kamchepuko huko nnje awe anajipooza analala huko mbona hata mke angejishtukia.
 
Movie kali sana hii ngoja niendelee kuiangalia.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…