Mbasha aomba msamaha kwa Kosa alilotenda

Mbasha aomba msamaha kwa Kosa alilotenda

Status
Not open for further replies.
Kuna mburura nahisi ni misukule ya mzee wa hummer wananithreat PM eti wanatrace my IP address!! Nawashauri muendelee kutrace ila mkae mkijua wengine mnaotaka kutuchokoza vina virefu!! Ntawedekisha bahari, na tena ndio mmenitibua kabisa leo naropoka mpaka kesho mfunge kanisa kwa aibu!! Manina


NTARUDI WAKUU!
Usiogope The Bold acha watress,waaibishe hapa mchana kweupe,Mungu wa kweli anakulinda
 
Kuna mburura nahisi ni misukule ya mzee wa hummer wananithreat PM eti wanatrace my IP address!! Nawashauri muendelee kutrace ila mkae mkijua wengine mnaotaka kutuchokoza vina virefu!! Ntawedekisha bahari, na tena ndio mmenitibua kabisa leo naropoka mpaka kesho mfunge kanisa kwa aibu!! Manina


NTARUDI WAKUU!

Weka username yake hapa tuanze nae
 
Kuna mburura nahisi ni misukule ya mzee wa hummer wananithreat PM eti wanatrace my IP address!! Nawashauri muendelee kutrace ila mkae mkijua wengine mnaotaka kutuchokoza vina virefu!! Ntawedekisha bahari, na tena ndio mmenitibua kabisa leo naropoka mpaka kesho mfunge kanisa kwa aibu!! Manina


NTARUDI WAKUU!

Ha ha ha ha,,mkuu nisaidie user name zao tena fanya haraka utume kwenye inbox yangu. Mi nta-trace IP zao....


Sent from my iPhone using JamiiForums app.
 
Kuna mburura nahisi ni misukule ya mzee wa hummer wananithreat PM eti wanatrace my IP address!! Nawashauri muendelee kutrace ila mkae mkijua wengine mnaotaka kutuchokoza vina virefu!! Ntawedekisha bahari, na tena ndio mmenitibua kabisa leo naropoka mpaka kesho mfunge kanisa kwa aibu!! Manina


NTARUDI WAKUU!

Mapambano yaendelee tujue maovu yao.. yaani hawa watumishi kwann wanatufanya sisi majuha..
Why..
Mungu waanike wote watu wajue..kwann watumie kivuli cha dini kufanya maovu kiasi hiki?
 
Kuna mburura nahisi ni misukule ya mzee wa hummer wananithreat PM eti wanatrace my IP address!! Nawashauri muendelee kutrace ila mkae mkijua wengine mnaotaka kutuchokoza vina virefu!! Ntawedekisha bahari, na tena ndio mmenitibua kabisa leo naropoka mpaka kesho mfunge kanisa kwa aibu!! Manina


NTARUDI WAKUU!

hahaahah mods plzz msifunge huu uzi plZzzzzzzzz

tunataka jf iwe sehemu ya kurekebisha maivu katika makanisa ya kiroho maana naona shigongo kazidiwa
 
hahaahah mods plzz msifunge huu uzi plZzzzzzzzz

tunataka jf iwe sehemu ya kurekebisha maivu katika makanisa ya kiroho maana naona shigongo kazidiwa

Hajazidiwa ila kuna watu na watu anawaonea, kesho habari yote tunaweza kukuta kwenye gazeti lake
 
Dah jamaa kajikaanga mwenyewe. Ila hapa kuna kamchezo behind the scene wadau
 
Kuna mburura nahisi ni misukule ya mzee wa hummer wananithreat PM eti wanatrace my IP address!! Nawashauri muendelee kutrace ila mkae mkijua wengine mnaotaka kutuchokoza vina virefu!! Ntawedekisha bahari, na tena ndio mmenitibua kabisa leo naropoka mpaka kesho mfunge kanisa kwa aibu!! Manina


NTARUDI WAKUU!

Hao misukule wke hawana jipya mkuu tiririka wa2 waache kwenda kutoa sadaka nakufanywa wajinga,huyo bintiye kma una no zke ntumie nimpe upako wangu,mimi nlijua tu lazma wakutishe gwajima anajiona kapata mlupo kumbe fundi kitambo cajabu anapewa ndogo mana flora ana mpododo kias
 
Hao misukule wke hawana jipya mkuu tiririka wa2 waache kwenda kutoa sadaka nakufanywa wajinga,huyo bintiye kma una no zke ntumie nimpe upako wangu,mimi nlijua tu lazma wakutishe gwajima anajiona kapata mlupo kumbe fundi kitambo cajabu anapewa ndogo mana flora ana mpododo kias
Naanza kupata shaka hata ule mchuma wa mamilion wa Flora atakuwa kanunuliwa na Gwajima,pole kwa Emma jela inamsubiri,huku Gwajima ndo ajimilikishe kabisa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom